Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
TRA hukuzionaNaona tulio Soma uhasibu hizi ajira hazitulengi kabisa jamani
sorry kaka hizo nafasi wamebase kwa kada zipi ualimu na afya pekee ama?Leo tarehe 12 April 2022 Serikali yetu kupitia Wizara ya Ajira na utumishi wa Umma imetangaza Ajira mpya na kupandisha madaraja wafanyakazi kibao.
Serikali yetu imesema itatumia zaidi ya shilingi bilion 40 katika michakato hii yote.
Kwa taarifa zaidi ingia www.utumishi.go.tz
Kila la kheri vijana.
Check hapasorry kaka hizo nafasi wamebase kwa kada zipi ualimu na afya pekee ama?
[emoji120][emoji120]Check hapa
Muulize SamiaKwahiyo hizi ndio ajira?
Nyie Tiaraei wamewapendelea sana awamu hii.Naona tulio Soma uhasibu hizi ajira hazitulengi kabisa jamani
Duh kumbeAta walimu atakayeomba shule yenye uhitaji ndo atachukuliwa
Unakuta umesomea kitu ambacho kipo kwenye taasisi moja tuu Tz mzima (haina mshindani) sasa hapo kutangaza kazi ni mpaka watu wafe.Kazi za geologists zinatangazwa kwa manati kweli huko utumishi, au ni mimi tu ndo huwa zinanipita?[emoji23]
Mama Samia oyeeeee! Huyu sasa ndo Rais wa kumlazimisha atawale milele atake asitake!!!!(in Ally Kesy's voice)Leo tarehe 12 April 2022 Serikali yetu kupitia Wizara ya Ajira na utumishi wa Umma imetangaza Ajira mpya na kupandisha madaraja wafanyakazi kibao.
Serikali yetu imesema itatumia zaidi ya shilingi bilion 40 katika michakato hii yote.
Kwa taarifa zaidi ingia www.utumishi.go.tz
Kila la kheri vijana.
Mbona ajira kibao zimetangazwa TRA za mlosoma uhasibu?? Ingia ajira portal uombe.Naona tulio Soma uhasibu hizi ajira hazitulengi kabisa jamani
Mzee,una moto.hivi ukikosa tena si utaweza kujiua wewe??ππSoon tu utumishi wanaanza kutangaza maombi, na Tamisemi watafungua dirisha la maombi kupitia OTEAS kama sikosei(hizi za Ualimu na Afya bado zitaratibiwa na Tamisemi)
Huwa nawamobilize tu vijana, nipo hapa kushare taarifa na wanna na nadhani nyuzi zangu unaziona. Kuhusu hizi kazi Wala siko na mzuka nazo kihiiiiivyo..!! because nafahamu lolote linaweza kutokea, for now niko na mambo zangu nakama mda wowote zikitoka nitaomba kwa kuwa nimesoma na vyeti ninavyo na ninahitaji kuwatumikia watanzania wenzangu.Mzee,una moto.hivi ukikosa tena si utaweza kujiua wewe??ππ
Safi mkuuHuwa nawamobilize tu vijana, nipo hapa kushare taarifa na wanna na nadhani nyuzi zangu unaziona. Kuhusu hizi kazi Wala siko na mzuka nazo kihiiiiivyo..!! because nafahamu lolote linaweza kutokea, for now niko na mambo zangu nakama mda wowote zikitoka nitaomba kwa kuwa nimesoma na vyeti ninavyo na ninahitaji kuwatumikia watanzania wenzangu.
Kukosa na kupata kwenye maisha ni kawaida na ni mipango ya Mungu..
"The struggle is always going on"
Pamoja mkuuHuwa nawamobilize tu vijana, nipo hapa kushare taarifa na wanna na nadhani nyuzi zangu unaziona. Kuhusu hizi kazi Wala siko na mzuka nazo kihiiiiivyo..!! because nafahamu lolote linaweza kutokea, for now niko na mambo zangu nakama mda wowote zikitoka nitaomba kwa kuwa nimesoma na vyeti ninavyo na ninahitaji kuwatumikia watanzania wenzangu.
Kukosa na kupata kwenye maisha ni kawaida na ni mipango ya Mungu..
"The struggle is always going on"
KabisaWafungue mfumo,watu waombe,ila waanze kuajiri kwa kuangalia miaka watu waliyomaliza,itasikitisha sana mtu kamaliza 2016 na anazo sifa sawa na yule aliyemaliza 2019,huyo wa 2016 anaachwa,anachukuliwa wa 2019,itakua siyo vizuri.Bora waajiriwe wote,lakini siyo kwa namna ambayo italeta mfadhaiko kwa waliosota mitaani muda mrefu,japo simaanishi waliomaliza juzijuzi eti wasipate,ila mzingatio utumike.