Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

sema wale wa kanisa la roma ndo mungu wao wa kike
 
kwahiyo maria amekuwa pdf converter
 
Bila wakatoliki msingepata biblia baaasi.....labda mngerudi kusoma torati,,,,ila hakuna biblia bila ukatoliki ,basi kama ndo muongozo wenu hata kama waliamua kuwapiga changa la macho wamefanikiwa
 
Bila wakatoliki msingepata biblia baaasi.....labda mngerudi kusoma torati,,,,ila hakuna biblia bila ukatoliki ,basi kama ndo muongozo wenu hata kama waliamua kuwapiga changa la macho wamefanikiwa
roma(wakatoliki) ndo waliojaribu kuipoteza bibilia,ila kwa uweza wa Mungu neno likatufikia
 
Usiwe mbishi. Weka wakatoliki tu usituingize wengine tusichokijua
 
Ingebaki tu kua Wakatoliki katika imani. Na sio Wakristo
 
Sikweli kwamba Bikira Maria Amepalizwa Mbinguni. Kupotoshwa huku ni Kutokana Na Kutokuya fahamu maandiko.

Kitabu cha Ufunuo ni kitabu cha unabii wa mambo yaliyopita Na yatakayokuja ina hitaji Ufunuo kuyafumbua mafumbo ya Mungu kwenye kitabu hiki.

Ufunuo 12:
Imeshapita ilikua inazungumzia Kuzaliwa kwa Yesu Kristo.

Ukisoma kitabu kile utagundua Kabla ya Yesu kuzaliwa kulikua Na Vita baina ya Uzao Na joka. Utaelewa vizuri ukisoma kitabu cha Matayo sura 2: kinatafsiri Unabii wa Ufunuo 12:

Kama unataka kuujua ukweli soma Ufunuo 12: sambamba Na Matayo 2: utaona Ufunuo 12: ilikua inanena unabii Ambao ulikuja kutimia kwenye Matayo 2:

Sasa hapa kanisa katoliki ndio lilipokosa tafsiri Na kupotosha. Ukweli ni kwamba Mama Maria Alikufa kama Watu wengine kabisa. Na sio kweli Amepalizwa mbinguni. Pia Hatuna mwombezi mwingine isipokua Yesu peke Yake kama kuhani Mkuu Anayetuombea mbele za Mungu. Soma 1 Yohana 2:1

Ushauri
Ni Vizuri sana kama wakristo tukawa wasomaji wa Neno la Mungu Na tusipende sana kusomewa maandiko Bali tunaposomewa neno la Mungu basi tuwe tayari Na Ufahamu maana Ufahamu uja kwa kulisoma Na kulielewa neno la Mungu.
 
Yesu anatoka kwa wayahudi na bibilia kwa waebrania, acha kutu lazimisha mambo kwa wakatoliki
Myahudi na muebrania alikua na torati yake,,,,biblia mmepewa na wakatoliki maana hakuna muasisi yeyote wa hivi vikanisa vyenu ambae alikua hayo maeneo ya wakina Yesu na maria enzi hizo zaidi ya wakatoliki...,,na mitume wote kazi zao zikaanzisha ukatoliki
 
Na hio biblia mnayofanya kutupigia kelele nayo humu mmepewa na wapagani,, bila wakatoliki msingemjua hata huyo yesu
Kaka Ucha Upotoshaji. Usilolijua Usilizungumze kaka. Ukristo haukuletwa Na wakatoliki Ukristo ulianzia kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume 11:26

Wakatoliki walikuja kuhodhi Ukristo kutokana Na Nguvu ya dola ya kirumi iliokua imetawala Dunia. Kwa kivuli cha kueneza dini.

Sasa kama huna fact ni bora usizungumze maana hujui historia.
 
Hicho kifungu ungeki quote wapi kama mkatoliki asingekuandikia hio biblia,,,hicho kitabu cha matendo ya mitume kimetoka mbiguni nacho, semeni mnavyotaka ila kwenye ukristo ukatoliki ni kama maji ndo baba yenu ndo mama yenu hamumkwepi
 
Hicho kifungu ungeki quote wapi kama mkatoliki asingekuandikia hio biblia,,,hicho kitabu cha matendo ya mitume kimetoka mbiguni nacho, semeni mnavyotaka ila kwenye ukristo ukatoliki ni kama maji ndo baba yenu ndo mama yenu hamumkwepi
Nani kakwambia wakatoliki ndio wameleta biblia? Nenda katafute History ya Biblia Na MTU Aliye chapisha biblia uje Na Fact Kaka usilolijua usiliongee kwa kulewa Udhehebu kumbe hujui Kitu ni mfata upepotu.
 
Nani kakwambia wakatoliki ndio wameleta biblia? Nenda katafute History ya Biblia Na MTU Aliye chapisha biblia uje Na Fact Kaka usilolijua usiliongee kwa kulewa Udhehebu kumbe hujui Kitu ni mfata upepotu.
We sema utakayo bila mkatoliki kukaa kukusanya hivyo vitabu na kutengeneza biblia leo hii msingekua na sehemu ya kukopi na kutupigia makelele
 
Mbna sikuwa na habari za maria kupalizwa mbinguni.....duh ila roman catholic ni dini ya ajabu
 
We sema utakayo bila mkatoliki kukaa kukusanya hivyo vitabu na kutengeneza biblia leo hii msingekua na sehemu ya kukopi na kutupigia makelele
Nani kakwambia ukatoliki ndio ulikusanya nyaraka za biblia? Kaka acha ushabiki katafute history ya chanzo cha nyaraka za biblia alafu utagundua hujui Kitu zaidi umejaa ushabikitu.

Pia jua kwamba biblia sio Mali ya wakatoliki biblia ni Neno la Mungu kaka.

Biblia sio Mali ya mkatoliki au mpentekoste biblia ni neno la Mungu kwa watu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…