Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

Nipe ufafanuzi hapo
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Allah alikuwa na nani hapo au alikosea kuandika? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe mbona unataka kuhamisha mada hapa hatujadili waislamu au kruani yao, na wanyewe wakati wao ukipatkana tuta wahoji.
 
Thesis, Martin luther yote hayo ni maoni ya wanadamu, I would invest on the Bible
Soma kwanza historia ya Biblia
Usome ukristo wa mwanzo pale
Njoo hadi mwaka around 38-41 wakati Sauli anaongoka
 
Wewe mbona unataka kuhamisha mada hapa hatujadili waislamu au kruani yao, na wanyewe wakati wao ukipatkana tuta wahoji.

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity" 😁😁😁😁​

 

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]​

Acha upuuzi hatuko katika uzi wa waislamu mbona unachanganya mambo hilo lina uhusiano gani na mada ya mleta uzi, wewe kama kuna jambo wataka anzisha uzi tutachangia tu, sio kuharibu uzi wa mwenzio
 
Nimepita kanisa moja maeneo flani mida ya saa 12 na dakika 40 jioni nimekuta wanasali.
 
View attachment 2718085

Ufunuo 12:1
"Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!"

Luka 1:26
"Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu"

Utangulizi: Tafakari ya Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria: Bikira Maria ni ishara na tumaini thabiti na ya faraja kwa taifa la Mungu linalosafiri. Tunaposherehekea Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria, tunajifunza kuwa, Mama wa Yesu, akiwa amekwisha tukuzwa mbinguni mwili na roho, ni sura na mwanzo wa Kanisa ambalo litapata utimilifu wake katika ulimwengu ujao. Kadhalika anang’aa duniani kama alama ya hakika ya matumaini na ya faraja kwa Taifa la Mungu lililo safarini, mpaka siku ya Bwana itakapokuja (taz. 2Pet 3:10; Lumen Gentium, n. 68). Somo la kwanza: Ufunuo 11-.19; 12:1-6.10. Somo la pili: 1 Wakorinto 15:20-26. Injili: Luka 1:39-56. Karibu mpenzi msikilizaji wa Radio Vatican katika tafakari hii, leo ambapo Kanisa linaadhimisha Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria Mtakatifu.

Tafakari: Moja ya mafundisho haya ya Kanisa ni kutoka katika somo la kwanza tulilosikia, kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohane 11:19; 12:1-6.10. Katika somo hili, Mababa wa Kanisa wanafundisha kuwa, kwanza somo linazungumzia mwanamke ambaye ni sura ya taifa la Mungu, ambalo ndilo Kanisa, ambapo pia Maria anawakilisha sura ya taifa la Mungu yaani Kanisa. Simulizi hili la joka linaturudisha kwenye kitabu cha Mwanza 3:15 ambapo Mungu aliweka uadui kati ya mwanamke na nyoka na kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka ambaye ni shetani. Mwanamke aliyevikwa jua. Hii ni ishara ya kuwa mwanamke huyu amepambwa kwa neema za Mungu (salamu uliye jaa neema – salamu ya Malaika Gabrieli kwa Bikira Maria). Na mwezi chini ya miguu yake, maana yake kuwa mwanamke huyu hatapotea wala kuamgamia, bali ataishi milele. Na juu ya kichwa chake taji ya nyota 12, zinazowakilisha makabila 12 ya wana wa Israeli. Pia huwakilisha Mitume 12 ya Yesu, ikiwa na maana ya utawala wa Kanisa katika ulimwengu. Naye alikuwa na mimba akilia hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa. Hii li lugha ya picha inayoonesha mateso ya wokovu yaliyoletwa au kutimizwa na Kristo pale msalabani na hatimaye kufufuka kwa ushindi. Naye akazaa mtoto wa kiume – huyu ndiye Kristo Yesu Mkombozi wa ulimwengu, na mtoto huyu akanyakuliwa hata kwa Mungu, picha ya mateso, kifo, ufufuko na kupaa mbinguni kwa Kristo. Mwanamke akakimbilia nyikani, hii huwakilisha ukimbizi wa Wakristo wa kwanza kwa sababu ya mateso.

Tuhitimishe tafakari yetu kwa kusema kuwa tusihofu kumsifu Maria kwa sababu kila mara tunapomsifu Maria, yeye mara moja huzigeuza sifa hizo kuwa za Mungu. Ndio maana Elizabeti alipomsifu, mara moja Bikira Maria akasema “Moyo wangu wamtukuza Bwana...” Utenzi huu unaeleza hali ya kiroho ya Bikira Maria, na hakuna kitu kikubwa zaidi ya hali hii ya kiroho kwa ajili ya kutusaidia kupata uzoefu wa Fumbo la Ekaristi. Ekaristi imetolewa kwetu ili maisha yetu, kama yale ya Bikira Maria, yawe ya ukuu kabisa. Kwa maana “Mama anapoheshimiwa, Mwana hupata kujulishwa, kupendwa na kutukuzwa inavyostahili, na amri zake kushikwa, kwa kuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa (rej. Kol 1:15-16) na katika yeye ilimpendeza Baba wa milele utimilifu wote ukae (rej. Kol 1:19).” Tumtazame Bikira Maria, yeye anatufungulia matumaini ya wakati ujao uliojaa furaha na anatufundisha njia ya kuufikia: yaani kumpokea mwanaye kwa imani; daima tusipoteze urafiki wetu na mwanaye, bali tujiachilie ili, Mwanaye atuangazie mwanga wake na atuongoze kwa Neno lake; tumfuase mwanaye kila siku, hata nyakati ambazo tunahisi misalaba yetu kuwa mizito. Maria Sanduku la Agano Jipya aliye Mbinguni, anatuonesha kwa mwanga halisi kwamba tupo katika njia tukielekea katika nyumba yetu ya kweli, yaani ushirika wetu wa furaha na amani pamoja na Mungu. Hivyo, waamini wote wakristo wamsihi kwa nguvu Mama wa Mungu na Mama wa wanadamu, ili yeye aliyeusaidia mwanzo wa Kanisa kwa maombezi yake, pia sasa aliyetukuzwa mbinguni, juu ya Wenye heri na Malaika, awaombee kwa Mwanawe katika Ushirika wa Watakatifu wote, mpaka jamaa zote za Mataifa zilizopambwa jina la Kristo au zisizomjua bado Mwokozi wao, zikusanyike kwa furaha kuwa Taifa moja la Mungu katika amani na mapatano, kwa utukufu wa Utatu Mtakatifu sana usiogawanyika. Amina.

Tumsifu Yesu Kristu!
Naomba mstari wowte wa Biblia unaosema Mariamu alipalizwa mbinguni.
 
Hapa wewe acha kuuliza masuali ya kitoto hata bila kupewa hiyo nuku tumia common sense tu, Maria alikua mama wa Mungu mwanae Yesu alikua alisha paishwa mme wake ambaye ni baba wa Yesu alikua tayari juu, sasa kwanini mke abaki aridhini wakati familia yote alikua imesha paishwa? Sisi RC hatuna mengi ni kuamini tu.
Ili tabiriwa wapi ,Katika Biblia kuwa Maria atakufa na KUFUFUKA ????

Maana vyote ,alivyofanya yesu vilitabiriwa kufa na KUFUFUKA ,kama

Ushahidi ulio na pande mbili ,

Ushahidi wa Agano la kale= inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu.

Ushahidi wa Agano jipya = inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu,

Andika Ushahidi wa Maria Ulio Katika Agano la kale na Agano jipya,

Maana ,pasipo mashahidi wawili
Agano la kale na
Agano jipya


Jambo Hilo ,haliwezi kupokelewa

MOYO WA IMANI NI ULE ULIO JIELEKEZA KUAMINI NA KUPOKEA ,KATIKA KILA KILICHO ANDIKWA KIMAANDIKO ,NA SIO NJE YA MAANDIKO.

.)
 
Alaa kumbe Maria alipalizwa ndio nimejua leo
Nakunongo'oneza tu kwa siri hizi ni hadithi za kuungaunga.
 
View attachment 2718085

Ufunuo 12:1
"Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!"

Luka 1:26
"Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu"

Utangulizi: Tafakari ya Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria: Bikira Maria ni ishara na tumaini thabiti na ya faraja kwa taifa la Mungu linalosafiri. Tunaposherehekea Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria, tunajifunza kuwa, Mama wa Yesu, akiwa amekwisha tukuzwa mbinguni mwili na roho, ni sura na mwanzo wa Kanisa ambalo litapata utimilifu wake katika ulimwengu ujao. Kadhalika anang’aa duniani kama alama ya hakika ya matumaini na ya faraja kwa Taifa la Mungu lililo safarini, mpaka siku ya Bwana itakapokuja (taz. 2Pet 3:10; Lumen Gentium, n. 68). Somo la kwanza: Ufunuo 11-.19; 12:1-6.10. Somo la pili: 1 Wakorinto 15:20-26. Injili: Luka 1:39-56. Karibu mpenzi msikilizaji wa Radio Vatican katika tafakari hii, leo ambapo Kanisa linaadhimisha Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria Mtakatifu.

Tafakari: Moja ya mafundisho haya ya Kanisa ni kutoka katika somo la kwanza tulilosikia, kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohane 11:19; 12:1-6.10. Katika somo hili, Mababa wa Kanisa wanafundisha kuwa, kwanza somo linazungumzia mwanamke ambaye ni sura ya taifa la Mungu, ambalo ndilo Kanisa, ambapo pia Maria anawakilisha sura ya taifa la Mungu yaani Kanisa. Simulizi hili la joka linaturudisha kwenye kitabu cha Mwanza 3:15 ambapo Mungu aliweka uadui kati ya mwanamke na nyoka na kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka ambaye ni shetani. Mwanamke aliyevikwa jua. Hii ni ishara ya kuwa mwanamke huyu amepambwa kwa neema za Mungu (salamu uliye jaa neema – salamu ya Malaika Gabrieli kwa Bikira Maria). Na mwezi chini ya miguu yake, maana yake kuwa mwanamke huyu hatapotea wala kuamgamia, bali ataishi milele. Na juu ya kichwa chake taji ya nyota 12, zinazowakilisha makabila 12 ya wana wa Israeli. Pia huwakilisha Mitume 12 ya Yesu, ikiwa na maana ya utawala wa Kanisa katika ulimwengu. Naye alikuwa na mimba akilia hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa. Hii li lugha ya picha inayoonesha mateso ya wokovu yaliyoletwa au kutimizwa na Kristo pale msalabani na hatimaye kufufuka kwa ushindi. Naye akazaa mtoto wa kiume – huyu ndiye Kristo Yesu Mkombozi wa ulimwengu, na mtoto huyu akanyakuliwa hata kwa Mungu, picha ya mateso, kifo, ufufuko na kupaa mbinguni kwa Kristo. Mwanamke akakimbilia nyikani, hii huwakilisha ukimbizi wa Wakristo wa kwanza kwa sababu ya mateso.

Tuhitimishe tafakari yetu kwa kusema kuwa tusihofu kumsifu Maria kwa sababu kila mara tunapomsifu Maria, yeye mara moja huzigeuza sifa hizo kuwa za Mungu. Ndio maana Elizabeti alipomsifu, mara moja Bikira Maria akasema “Moyo wangu wamtukuza Bwana...” Utenzi huu unaeleza hali ya kiroho ya Bikira Maria, na hakuna kitu kikubwa zaidi ya hali hii ya kiroho kwa ajili ya kutusaidia kupata uzoefu wa Fumbo la Ekaristi. Ekaristi imetolewa kwetu ili maisha yetu, kama yale ya Bikira Maria, yawe ya ukuu kabisa. Kwa maana “Mama anapoheshimiwa, Mwana hupata kujulishwa, kupendwa na kutukuzwa inavyostahili, na amri zake kushikwa, kwa kuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa (rej. Kol 1:15-16) na katika yeye ilimpendeza Baba wa milele utimilifu wote ukae (rej. Kol 1:19).” Tumtazame Bikira Maria, yeye anatufungulia matumaini ya wakati ujao uliojaa furaha na anatufundisha njia ya kuufikia: yaani kumpokea mwanaye kwa imani; daima tusipoteze urafiki wetu na mwanaye, bali tujiachilie ili, Mwanaye atuangazie mwanga wake na atuongoze kwa Neno lake; tumfuase mwanaye kila siku, hata nyakati ambazo tunahisi misalaba yetu kuwa mizito. Maria Sanduku la Agano Jipya aliye Mbinguni, anatuonesha kwa mwanga halisi kwamba tupo katika njia tukielekea katika nyumba yetu ya kweli, yaani ushirika wetu wa furaha na amani pamoja na Mungu. Hivyo, waamini wote wakristo wamsihi kwa nguvu Mama wa Mungu na Mama wa wanadamu, ili yeye aliyeusaidia mwanzo wa Kanisa kwa maombezi yake, pia sasa aliyetukuzwa mbinguni, juu ya Wenye heri na Malaika, awaombee kwa Mwanawe katika Ushirika wa Watakatifu wote, mpaka jamaa zote za Mataifa zilizopambwa jina la Kristo au zisizomjua bado Mwokozi wao, zikusanyike kwa furaha kuwa Taifa moja la Mungu katika amani na mapatano, kwa utukufu wa Utatu Mtakatifu sana usiogawanyika. Amina.

Tumsifu Yesu Kristu!
Acha uongo,

Ufunuo 12 :5 Mwanamke akazaa mtoto mwanamume, na mtoto huyo akanyakuliwa Mbinguni.

(Ufunuo 12:6)

Mwanamke akakimbilia Nyikani Mahali palipowekwa tayari kumficha.


Wapi imeandikwa bikra maria alinyakuliwa Mbinguni?
 
Ili tabiriwa wapi ,Katika Biblia kuwa Maria atakufa na KUFUFUKA ????

Maana vyote ,alivyofanya yesu vilitabiriwa kufa na KUFUFUKA ,kama

Ushahidi ulio na pande mbili ,

Ushahidi wa Agano la kale= inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu.

Ushahidi wa Agano jipya = inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu,

Andika Ushahidi wa Maria Ulio Katika Agano la kale na Agano jipya,

Maana ,pasipo mashahidi wawili
Agano la kale na
Agano jipya


Jambo Hilo ,haliwezi kupokelewa

MOYO WA IMANI NI ULE ULIO JIELEKEZA KUAMINI NA KUPOKEA ,KATIKA KILA KILICHO ANDIKWA KIMAANDIKO ,NA SIO NJE YA MAANDIKO.

.)
(Ufunuo 12:5-6)

Imeandikwa wazi kuwa, mtoto mwanamume ndiye alinyakuliwa Mbinguni( Yesu)

Mwanamke( Kanisa) akakimbilia Nyikani kufichwa Hadi siku zitimie.

Hakuna Mahali imeandikwa Maria amenyakuliwa Mbinguni.
 
Usimuonee wivu kukaa na Mungu maana ni Mungu aliamua kukaa ndani ya mwili wake kwa miezi tisa, akitegemea hewa na chakula kutoka kwake na hatimaye akanyonya maziwa yake n.k.
Kuhusu kufa, Bikra Maria alikufa kweli lakini alipalizwa mbinguni mwili na roho
Imeandikwa wapi ewe mwana wa kuasi kuwa Maria alipaa Mbinguni?
 
(Ufunuo 12:5-6)

Imeandikwa wazi kuwa, mtoto mwanamume ndiye alinyakuliwa Mbinguni( Yesu)

Mwanamke( Kanisa) akakimbilia Nyikani kufichwa Hadi siku zitimie.

Hakuna Mahali imeandikwa Maria amenyakuliwa Mbinguni.
Shida ya Hawa jamaa ,

Wamekubali kutolewa kwenye MSINGI ,

wakindani ndio Imani inavyotaka hivyo,

Yaani wao ni kupokea tu kupokea tu, hata kisichokuwa kwenye andiko watapokea tu,

Na ndivyo wadhaniavyo kuwa ,mtu wa Imani anavyotakiwa kuwa

MOYO WA IMANI NI ULE ULIO JIELEKEZA KUAMINI NA KUPOKEA ,KATIKA KILA KILICHO ANDIKWA KIMAANDIKO ,NA SIO NJE YA MAANDIKO.
 
Ili tabiriwa wapi ,Katika Biblia kuwa Maria atakufa na KUFUFUKA ????

Maana vyote ,alivyofanya yesu vilitabiriwa kufa na KUFUFUKA ,kama

Ushahidi ulio na pande mbili ,

Ushahidi wa Agano la kale= inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu.

Ushahidi wa Agano jipya = inaeleza kufa na KUFUFUKA Kwa Yesu,

Andika Ushahidi wa Maria Ulio Katika Agano la kale na Agano jipya,

Maana ,pasipo mashahidi wawili
Agano la kale na
Agano jipya


Jambo Hilo ,haliwezi kupokelewa

MOYO WA IMANI NI ULE ULIO JIELEKEZA KUAMINI NA KUPOKEA ,KATIKA KILA KILICHO ANDIKWA KIMAANDIKO ,NA SIO NJE YA MAANDIKO.

.)
Maria si bikra maana baada ya kumzaa Yesu, aliendelea na mumewe Yusufu na walipata watoto.
Maria alikuwa mwanadamu wa kawaida alikufa na kuzikwa na anasubiri ufufuo wa mwisho, stori za kupalizwa ni uongo ambao hauna andiko lolote.
 
MTAKATIFU
Shida ya Hawa jamaa ,

Wamekubali kutolewa kwenye MSINGI ,

wakindani ndio Imani inavyotaka hivyo,

Yaani wao ni kupokea tu kupokea tu, hata kisichokuwa kwenye andiko watapokea tu,

Na ndivyo wadhaniavyo kuwa ,mtu wa Imani anavyotakiwa kuwa

MOYO WA IMANI NI ULE ULIO JIELEKEZA KUAMINI NA KUPOKEA ,KATIKA KILA KILICHO ANDIKWA KIMAANDIKO ,NA SIO NJE YA MAANDIKO.
Badala ya kusoma BIBLIA,wao wanakubali kusomewa vitabu vya kipagani.

Warumi waabudu miungu, wamefanikiwa kumuingiza miungu mke Ili aabudiwe Kwa kificho Kwa Jina la Mariamu.

Na Sasa Pope ameshajitambulisha Cheo chake Cha kificho Cha mpinga kristo, Kwa kuhalalisha USHOGA madhabahuni, imebaki kwao kuamua kuondoka au kubaki gizani.
 
View attachment 2718085

Ufunuo 12:1
"Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!"

Luka 1:26
"Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu"

Utangulizi: Tafakari ya Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria: Bikira Maria ni ishara na tumaini thabiti na ya faraja kwa taifa la Mungu linalosafiri. Tunaposherehekea Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria, tunajifunza kuwa, Mama wa Yesu, akiwa amekwisha tukuzwa mbinguni mwili na roho, ni sura na mwanzo wa Kanisa ambalo litapata utimilifu wake katika ulimwengu ujao. Kadhalika anang’aa duniani kama alama ya hakika ya matumaini na ya faraja kwa Taifa la Mungu lililo safarini, mpaka siku ya Bwana itakapokuja (taz. 2Pet 3:10; Lumen Gentium, n. 68). Somo la kwanza: Ufunuo 11-.19; 12:1-6.10. Somo la pili: 1 Wakorinto 15:20-26. Injili: Luka 1:39-56. Karibu mpenzi msikilizaji wa Radio Vatican katika tafakari hii, leo ambapo Kanisa linaadhimisha Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria Mtakatifu.

Tafakari: Moja ya mafundisho haya ya Kanisa ni kutoka katika somo la kwanza tulilosikia, kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohane 11:19; 12:1-6.10. Katika somo hili, Mababa wa Kanisa wanafundisha kuwa, kwanza somo linazungumzia mwanamke ambaye ni sura ya taifa la Mungu, ambalo ndilo Kanisa, ambapo pia Maria anawakilisha sura ya taifa la Mungu yaani Kanisa. Simulizi hili la joka linaturudisha kwenye kitabu cha Mwanza 3:15 ambapo Mungu aliweka uadui kati ya mwanamke na nyoka na kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka ambaye ni shetani. Mwanamke aliyevikwa jua. Hii ni ishara ya kuwa mwanamke huyu amepambwa kwa neema za Mungu (salamu uliye jaa neema – salamu ya Malaika Gabrieli kwa Bikira Maria). Na mwezi chini ya miguu yake, maana yake kuwa mwanamke huyu hatapotea wala kuamgamia, bali ataishi milele. Na juu ya kichwa chake taji ya nyota 12, zinazowakilisha makabila 12 ya wana wa Israeli. Pia huwakilisha Mitume 12 ya Yesu, ikiwa na maana ya utawala wa Kanisa katika ulimwengu. Naye alikuwa na mimba akilia hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa. Hii li lugha ya picha inayoonesha mateso ya wokovu yaliyoletwa au kutimizwa na Kristo pale msalabani na hatimaye kufufuka kwa ushindi. Naye akazaa mtoto wa kiume – huyu ndiye Kristo Yesu Mkombozi wa ulimwengu, na mtoto huyu akanyakuliwa hata kwa Mungu, picha ya mateso, kifo, ufufuko na kupaa mbinguni kwa Kristo. Mwanamke akakimbilia nyikani, hii huwakilisha ukimbizi wa Wakristo wa kwanza kwa sababu ya mateso.

Tuhitimishe tafakari yetu kwa kusema kuwa tusihofu kumsifu Maria kwa sababu kila mara tunapomsifu Maria, yeye mara moja huzigeuza sifa hizo kuwa za Mungu. Ndio maana Elizabeti alipomsifu, mara moja Bikira Maria akasema “Moyo wangu wamtukuza Bwana...” Utenzi huu unaeleza hali ya kiroho ya Bikira Maria, na hakuna kitu kikubwa zaidi ya hali hii ya kiroho kwa ajili ya kutusaidia kupata uzoefu wa Fumbo la Ekaristi. Ekaristi imetolewa kwetu ili maisha yetu, kama yale ya Bikira Maria, yawe ya ukuu kabisa. Kwa maana “Mama anapoheshimiwa, Mwana hupata kujulishwa, kupendwa na kutukuzwa inavyostahili, na amri zake kushikwa, kwa kuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa (rej. Kol 1:15-16) na katika yeye ilimpendeza Baba wa milele utimilifu wote ukae (rej. Kol 1:19).” Tumtazame Bikira Maria, yeye anatufungulia matumaini ya wakati ujao uliojaa furaha na anatufundisha njia ya kuufikia: yaani kumpokea mwanaye kwa imani; daima tusipoteze urafiki wetu na mwanaye, bali tujiachilie ili, Mwanaye atuangazie mwanga wake na atuongoze kwa Neno lake; tumfuase mwanaye kila siku, hata nyakati ambazo tunahisi misalaba yetu kuwa mizito. Maria Sanduku la Agano Jipya aliye Mbinguni, anatuonesha kwa mwanga halisi kwamba tupo katika njia tukielekea katika nyumba yetu ya kweli, yaani ushirika wetu wa furaha na amani pamoja na Mungu. Hivyo, waamini wote wakristo wamsihi kwa nguvu Mama wa Mungu na Mama wa wanadamu, ili yeye aliyeusaidia mwanzo wa Kanisa kwa maombezi yake, pia sasa aliyetukuzwa mbinguni, juu ya Wenye heri na Malaika, awaombee kwa Mwanawe katika Ushirika wa Watakatifu wote, mpaka jamaa zote za Mataifa zilizopambwa jina la Kristo au zisizomjua bado Mwokozi wao, zikusanyike kwa furaha kuwa Taifa moja la Mungu katika amani na mapatano, kwa utukufu wa Utatu Mtakatifu sana usiogawanyika. Amina.

Tumsifu Yesu Kristu!
Mariamu siyo kiunganishi baina yetu na Mungu
 
Ubaya na uzuri Mungu hana hasira za karibu , angeshawamaliza kwa dhihaka ila ameacha tu.

hizi elimu dunia wanajisifia kuwa na digrii saba hazina uhusiano wowote na kumjua Mungu.
Mungu hafahamiki kwa elimu ya darasani.
ETI,
Baba na Mama ,na mtoto wao Wa kiungu yaani yesu Yuko juu pamoja na Baba ake na Mama ake WA kiungu eti ndio maria,

Na
Ndie Maria wanaye muhita fumbo la Roho mtakatifu ,na ndio wamekomaa Huyo maria ambae kwao ndio Roho mtakatifu awaombe huko mbinguni ,
Kwa kuugua na uchungu mwingi

Mungu eti mke wake maria ,
Kwa mantiki hio teari wamemfanya akili I mwao maria ni Mungu mke,(mke WA Mungu ).
Bila hata aibu ,kwasababu ni mke nae kapaa kwenda juu, bila macho ya haya Wala haibu hawaoni,waliopanda kitu icho Kwa watu watapata adhabu kubwa mno


ETI maria ndio Mama huko juu mbinguni,
Mama Mungu juu mbinguni ndio maria ,
 
ETI,
Baba na Mama ,na mtoto wao Wa kiungu yaani yesu Yuko juu pamoja na Baba ake na Mama ake WA kiungu eti ndio maria,

Na
Ndie Maria wanaye muhita fumbo la Roho mtakatifu ,na ndio wamekomaa Huyo maria ambae kwao ndio Roho mtakatifu awaombe huko mbinguni ,
Kwa kuugua na uchungu mwingi

Mungu eti mke wake maria ,
Kwa mantiki hio teari wamemfanya akili I mwao maria ni Mungu mke,(mke WA Mungu ).
Bila hata aibu ,kwasababu ni mke nae kapaa kwenda juu, bila macho ya haya Wala haibu hawaoni,waliopanda kitu icho Kwa watu watapata adhabu kubwa mno


ETI maria ndio Mama huko juu mbinguni,
Mama Mungu juu mbinguni ndio maria ,
Yesu alipofufuka pazia la hekalu lilipasuka.
Tangu hapo sasa wanadamu waliokuw wamungwanisha na Mungu kupitia manabii ikawa wanaweza kuomba moja kwa moaj kwa Mungu!
 
Back
Top Bottom