Sio ugonjwa tu, ni mbumbumbu wengi hufuata bila kuuliza, ni kama kondo eti Mama wa Mungu jinga kabisa, Mungu kweli awe na mama? Si huo ni ubinaadamu.Wakristo wengi ni wagonjwa wa akili na wamelaaniwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ugonjwa tu, ni mbumbumbu wengi hufuata bila kuuliza, ni kama kondo eti Mama wa Mungu jinga kabisa, Mungu kweli awe na mama? Si huo ni ubinaadamu.Wakristo wengi ni wagonjwa wa akili na wamelaaniwa
Kwa hiyo bikira Maria alimpozaa Yesu hakuendele kufanya tendo la ndoa na Yosefu na hakuzaa watoto wengine?Njia ya ukombozi ni kama mti wa msalaba, misumari, mkuki, mijeredi, Pilato, Yuda Iskariyote na maaskari pamoja na wayahudi, Bikra Maria ni mshirika wa Ukombozi.
Ingekuwa suala ni ukombozi tu basi Kristu angeshuka mzima mzima akifika akawaamrisha wahayudi wamsubishe ili afanyike ukombozi.
Ukitaka kulifahamu fumbo la ukombozi wa mwanadamu huwezi kumkwepa Bikra Maria. Bikra Maria aliandaliwa na Mungu kwa kumjaza neema toka alipotungwa mimba tumboni mwa mama yake, Anna. Kristu baada ya kuzaliwa alimfanya Maria mshirika wa kazi yake hadi akakubali Maria awe miongoni mwa wafuasi wake na akamshirikisha Maria mateso yake kama mama aliposimama pembeni ya msalaba wake pale Calvary. Mpaka hapo utaona Maria ni zaidi ya chombo cha ukombozi bali ni mshirika wa ukombozi hapa duniani.
Huko ni kujikweza wewe,Kama mangi anavyoandika 'tunauza urembo wakati duka lake peke yake na anauza peke yake'..hiyo lugha kwenye kiingereza ipo pia, waisrael kiutamaduni wao Binti akiwa chini ya miaka 13 wanahesabu(almah) bikira,lakini wewe usiyejua kiebrania unatafsiri tu bikira,unatafsiri wingi,hujui lugha asili walimaanisha nini,ndiyo maana wayahudi hawamkubali yesu wanamuita mtoto wa zinaaIndeed, We created man from sounding clay moulded from black mud.
Suratul Hijr 26. Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
Leta andikoUsimuonee wivu kukaa na Mungu maana ni Mungu aliamua kukaa ndani ya mwili wake kwa miezi tisa, akitegemea hewa na chakula kutoka kwake na hatimaye akanyonya maziwa yake n.k.
Kuhusu kufa, Bikra Maria alikufa kweli lakini alipalizwa mbinguni mwili na roho
Ndiyo, hilo suala liliandikwa kwenye vilivyohifadhiwa kama Mapokea siyo kama Neno la Mungu. Mimi nilibahatika kuvisoma, na hapa naandika siyo kukufundisha bali kukuondolea dukuduku juu ya ubikra wa Maria.Kwa hiyo bikira Maria alimpozaa Yesu hakuendele kufanya tendo la ndoa na Yosefu na hakuzaa watoto wengine?
Andiko lipi? Nikikuletea biblia yenye Injili iliyoandikwa na Pilato utaliamini?Leta andiko
LetaAndiko lipi? Nikikuletea biblia yenye Injili iliyoandikwa na Pilato utaliamini?
Ujanijibu swala la msingi je Yosefu hukuzaa naye au hakuishi kama mke na mumeNdiyo, hilo suala liliandikwa kwenye vilivyohifadhiwa kama Mapokea siyo kama Neno la Mungu. Mimi nilibahatika kuvisoma, na hapa naandika siyo kukufundisha bali kukuondolea dukuduku juu ya ubikra wa Maria.
Wakati Maria anajifungua mama mmoja alienda kimsaidia, alichokiona hakuamini macho yake, akamuita mama mwenzie. Yule mama kwa umbea wake akaamua kuweka vidole kwenye njia ya uzazi kuthibitisha kama kweli njia imejifunga, alioweka tu mkono aliunguzwa kwa moto mkali sana na kupiga mayowe, ndipo Maria akamshika mkono akampoza. Tokea hapo habari zikaenea kuwa Maria kawa bikra tena, hata Yosefu hakuwahi kumsogolea labda sababu ya uzee na pia sababu ya keheshimu mambo ya Mungu. Ni habari zinaongelea mambo ya aibu ya watu wakubwa hazikuwekwa kwenye maandiko matakatifu, lakini zimehifadhiwa kuelewa kweli za Mungu.
Sasa kanisa likafundisha kuwa Maria ni Bikra daima, alikuwa Bikra kabla, wakati anamzaa Yesu na pia aliendelea kuwa bikra baada ya kujifungua hadi mauti ilipomkuta.
She died [emoji2320]Mimi bado hujanishawishi hizi story hizi alipaa
Hatujapinga lakini hakuna kwenye Quruani panaposema alipalizwa mbinguniKama Maria Anatajwa na vitabu vyote vya dini..wewe ni Nani upinge
Sidhani kama Kuna ukristo ambao sio zao la Romani Catholic history inakataaIla hapo wakristo umejumuisha wote ungeweka tu wakatoliki..
ukatoliki ni mchanganyiko wa upagani wa dola ya Rumi na uKristo kidogo. kuna upagani na UDANGANYIFU mwingi sana ukatolikini. (watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa) ukatoliki unaangamiza wengi sana. Vatican ndiko kuliko na kiti cha enzi cha shetani (Ufu 2:13).View attachment 2718085
Ufunuo 12:1
"Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!"
Luka 1:26
"Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu"
Utangulizi: Tafakari ya Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria: Bikira Maria ni ishara na tumaini thabiti na ya faraja kwa taifa la Mungu linalosafiri. Tunaposherehekea Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria, tunajifunza kuwa, Mama wa Yesu, akiwa amekwisha tukuzwa mbinguni mwili na roho, ni sura na mwanzo wa Kanisa ambalo litapata utimilifu wake katika ulimwengu ujao. Kadhalika anang’aa duniani kama alama ya hakika ya matumaini na ya faraja kwa Taifa la Mungu lililo safarini, mpaka siku ya Bwana itakapokuja (taz. 2Pet 3:10; Lumen Gentium, n. 68). Somo la kwanza: Ufunuo 11-.19; 12:1-6.10. Somo la pili: 1 Wakorinto 15:20-26. Injili: Luka 1:39-56. Karibu mpenzi msikilizaji wa Radio Vatican katika tafakari hii, leo ambapo Kanisa linaadhimisha Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria Mtakatifu.
Tafakari: Moja ya mafundisho haya ya Kanisa ni kutoka katika somo la kwanza tulilosikia, kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohane 11:19; 12:1-6.10. Katika somo hili, Mababa wa Kanisa wanafundisha kuwa, kwanza somo linazungumzia mwanamke ambaye ni sura ya taifa la Mungu, ambalo ndilo Kanisa, ambapo pia Maria anawakilisha sura ya taifa la Mungu yaani Kanisa. Simulizi hili la joka linaturudisha kwenye kitabu cha Mwanza 3:15 ambapo Mungu aliweka uadui kati ya mwanamke na nyoka na kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka ambaye ni shetani. Mwanamke aliyevikwa jua. Hii ni ishara ya kuwa mwanamke huyu amepambwa kwa neema za Mungu (salamu uliye jaa neema – salamu ya Malaika Gabrieli kwa Bikira Maria). Na mwezi chini ya miguu yake, maana yake kuwa mwanamke huyu hatapotea wala kuamgamia, bali ataishi milele. Na juu ya kichwa chake taji ya nyota 12, zinazowakilisha makabila 12 ya wana wa Israeli. Pia huwakilisha Mitume 12 ya Yesu, ikiwa na maana ya utawala wa Kanisa katika ulimwengu. Naye alikuwa na mimba akilia hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa. Hii li lugha ya picha inayoonesha mateso ya wokovu yaliyoletwa au kutimizwa na Kristo pale msalabani na hatimaye kufufuka kwa ushindi. Naye akazaa mtoto wa kiume – huyu ndiye Kristo Yesu Mkombozi wa ulimwengu, na mtoto huyu akanyakuliwa hata kwa Mungu, picha ya mateso, kifo, ufufuko na kupaa mbinguni kwa Kristo. Mwanamke akakimbilia nyikani, hii huwakilisha ukimbizi wa Wakristo wa kwanza kwa sababu ya mateso.
Tuhitimishe tafakari yetu kwa kusema kuwa tusihofu kumsifu Maria kwa sababu kila mara tunapomsifu Maria, yeye mara moja huzigeuza sifa hizo kuwa za Mungu. Ndio maana Elizabeti alipomsifu, mara moja Bikira Maria akasema “Moyo wangu wamtukuza Bwana...” Utenzi huu unaeleza hali ya kiroho ya Bikira Maria, na hakuna kitu kikubwa zaidi ya hali hii ya kiroho kwa ajili ya kutusaidia kupata uzoefu wa Fumbo la Ekaristi. Ekaristi imetolewa kwetu ili maisha yetu, kama yale ya Bikira Maria, yawe ya ukuu kabisa. Kwa maana “Mama anapoheshimiwa, Mwana hupata kujulishwa, kupendwa na kutukuzwa inavyostahili, na amri zake kushikwa, kwa kuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa (rej. Kol 1:15-16) na katika yeye ilimpendeza Baba wa milele utimilifu wote ukae (rej. Kol 1:19).” Tumtazame Bikira Maria, yeye anatufungulia matumaini ya wakati ujao uliojaa furaha na anatufundisha njia ya kuufikia: yaani kumpokea mwanaye kwa imani; daima tusipoteze urafiki wetu na mwanaye, bali tujiachilie ili, Mwanaye atuangazie mwanga wake na atuongoze kwa Neno lake; tumfuase mwanaye kila siku, hata nyakati ambazo tunahisi misalaba yetu kuwa mizito. Maria Sanduku la Agano Jipya aliye Mbinguni, anatuonesha kwa mwanga halisi kwamba tupo katika njia tukielekea katika nyumba yetu ya kweli, yaani ushirika wetu wa furaha na amani pamoja na Mungu. Hivyo, waamini wote wakristo wamsihi kwa nguvu Mama wa Mungu na Mama wa wanadamu, ili yeye aliyeusaidia mwanzo wa Kanisa kwa maombezi yake, pia sasa aliyetukuzwa mbinguni, juu ya Wenye heri na Malaika, awaombee kwa Mwanawe katika Ushirika wa Watakatifu wote, mpaka jamaa zote za Mataifa zilizopambwa jina la Kristo au zisizomjua bado Mwokozi wao, zikusanyike kwa furaha kuwa Taifa moja la Mungu katika amani na mapatano, kwa utukufu wa Utatu Mtakatifu sana usiogawanyika. Amina.
Tumsifu Yesu Kristu!
RubbishView attachment 2718085
Ufunuo 12:1
"Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!"
Luka 1:26
"Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja bikira aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. Malaika akamwendea, akamwambia, “Salamu, ewe uliyejaliwa neema na Mungu! Bwana yuko nawe!” Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: Maneno hayo yanamaanisha nini? Malaika akamwambia, “Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu"
Utangulizi: Tafakari ya Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria: Bikira Maria ni ishara na tumaini thabiti na ya faraja kwa taifa la Mungu linalosafiri. Tunaposherehekea Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria, tunajifunza kuwa, Mama wa Yesu, akiwa amekwisha tukuzwa mbinguni mwili na roho, ni sura na mwanzo wa Kanisa ambalo litapata utimilifu wake katika ulimwengu ujao. Kadhalika anang’aa duniani kama alama ya hakika ya matumaini na ya faraja kwa Taifa la Mungu lililo safarini, mpaka siku ya Bwana itakapokuja (taz. 2Pet 3:10; Lumen Gentium, n. 68). Somo la kwanza: Ufunuo 11-.19; 12:1-6.10. Somo la pili: 1 Wakorinto 15:20-26. Injili: Luka 1:39-56. Karibu mpenzi msikilizaji wa Radio Vatican katika tafakari hii, leo ambapo Kanisa linaadhimisha Sherehe ya Kupalizwa Mbinguni Mama Bikira Maria Mtakatifu.
Tafakari: Moja ya mafundisho haya ya Kanisa ni kutoka katika somo la kwanza tulilosikia, kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohane 11:19; 12:1-6.10. Katika somo hili, Mababa wa Kanisa wanafundisha kuwa, kwanza somo linazungumzia mwanamke ambaye ni sura ya taifa la Mungu, ambalo ndilo Kanisa, ambapo pia Maria anawakilisha sura ya taifa la Mungu yaani Kanisa. Simulizi hili la joka linaturudisha kwenye kitabu cha Mwanza 3:15 ambapo Mungu aliweka uadui kati ya mwanamke na nyoka na kati ya uzao wa mwanamke na uzao wa nyoka ambaye ni shetani. Mwanamke aliyevikwa jua. Hii ni ishara ya kuwa mwanamke huyu amepambwa kwa neema za Mungu (salamu uliye jaa neema – salamu ya Malaika Gabrieli kwa Bikira Maria). Na mwezi chini ya miguu yake, maana yake kuwa mwanamke huyu hatapotea wala kuamgamia, bali ataishi milele. Na juu ya kichwa chake taji ya nyota 12, zinazowakilisha makabila 12 ya wana wa Israeli. Pia huwakilisha Mitume 12 ya Yesu, ikiwa na maana ya utawala wa Kanisa katika ulimwengu. Naye alikuwa na mimba akilia hali ana utungu na kuumwa katika kuzaa. Hii li lugha ya picha inayoonesha mateso ya wokovu yaliyoletwa au kutimizwa na Kristo pale msalabani na hatimaye kufufuka kwa ushindi. Naye akazaa mtoto wa kiume – huyu ndiye Kristo Yesu Mkombozi wa ulimwengu, na mtoto huyu akanyakuliwa hata kwa Mungu, picha ya mateso, kifo, ufufuko na kupaa mbinguni kwa Kristo. Mwanamke akakimbilia nyikani, hii huwakilisha ukimbizi wa Wakristo wa kwanza kwa sababu ya mateso.
Tuhitimishe tafakari yetu kwa kusema kuwa tusihofu kumsifu Maria kwa sababu kila mara tunapomsifu Maria, yeye mara moja huzigeuza sifa hizo kuwa za Mungu. Ndio maana Elizabeti alipomsifu, mara moja Bikira Maria akasema “Moyo wangu wamtukuza Bwana...” Utenzi huu unaeleza hali ya kiroho ya Bikira Maria, na hakuna kitu kikubwa zaidi ya hali hii ya kiroho kwa ajili ya kutusaidia kupata uzoefu wa Fumbo la Ekaristi. Ekaristi imetolewa kwetu ili maisha yetu, kama yale ya Bikira Maria, yawe ya ukuu kabisa. Kwa maana “Mama anapoheshimiwa, Mwana hupata kujulishwa, kupendwa na kutukuzwa inavyostahili, na amri zake kushikwa, kwa kuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa (rej. Kol 1:15-16) na katika yeye ilimpendeza Baba wa milele utimilifu wote ukae (rej. Kol 1:19).” Tumtazame Bikira Maria, yeye anatufungulia matumaini ya wakati ujao uliojaa furaha na anatufundisha njia ya kuufikia: yaani kumpokea mwanaye kwa imani; daima tusipoteze urafiki wetu na mwanaye, bali tujiachilie ili, Mwanaye atuangazie mwanga wake na atuongoze kwa Neno lake; tumfuase mwanaye kila siku, hata nyakati ambazo tunahisi misalaba yetu kuwa mizito. Maria Sanduku la Agano Jipya aliye Mbinguni, anatuonesha kwa mwanga halisi kwamba tupo katika njia tukielekea katika nyumba yetu ya kweli, yaani ushirika wetu wa furaha na amani pamoja na Mungu. Hivyo, waamini wote wakristo wamsihi kwa nguvu Mama wa Mungu na Mama wa wanadamu, ili yeye aliyeusaidia mwanzo wa Kanisa kwa maombezi yake, pia sasa aliyetukuzwa mbinguni, juu ya Wenye heri na Malaika, awaombee kwa Mwanawe katika Ushirika wa Watakatifu wote, mpaka jamaa zote za Mataifa zilizopambwa jina la Kristo au zisizomjua bado Mwokozi wao, zikusanyike kwa furaha kuwa Taifa moja la Mungu katika amani na mapatano, kwa utukufu wa Utatu Mtakatifu sana usiogawanyika. Amina.
Tumsifu Yesu Kristu!
Yes! Sola Scriptura, Sola Fide.Thesis, Martin luther yote hayo ni maoni ya wanadamu, I would invest on the Bible only.
Bikira Maria Alipalizwa Mbinguni!!!Mimi bado hujanishawishi hizi story hizi alipaa
Mimi ntakua wa MWISHO kuamini mniite TOMA asieaminiBikira Maria Alipalizwa Mbinguni!!!
Nipe ufafanuzi hapoWewe huna imani ya ukatoliki mengi tunaamini tu ili ya ishe hicho ndo kinacho itwa imani wewe usilete logic zako hapa, Dini ya RC haina logic kabisa, wewe ulisha wahi kuona wapi 1+1+1=1!!!! Ila kwa imani ya kikatoliki ni sawa, Mungu baba+ Mungu mtoto+ Mungu roho mutakatifu =1mungu moja [emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji7]