lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na aina mbalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilianza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN, Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na aina mbalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilianza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN, Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.