DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,256
- 4,647
Hatua ya kwanza kuelekea kumuondoa Mrusi ndani ya Ukraine.
Labda kwenye ndoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatua ya kwanza kuelekea kumuondoa Mrusi ndani ya Ukraine.
Vita so kula ugali maharage baba. Vita Ni mapambano yanayopukutisha nyama na mifupa. Si rahisi kuingia mji wenye javelin maelfu Kama KievKama Ukraine wiki ya tatu hii hapo kyiv hamjakanyaga ndio mtawaweza NATO?
Hawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.Kwani hapo Ukraine unadhani NATO hawashiriki? Hizo military supplies, mercenaries na vikwazo dhidi ya urusi ndo kushiriki kwenyewe. BTW hivi NATO walitumia muda gani kumwangusha Gadafi pale Libya? Vipi marekani na it's allies pale kwa Sadam Iraq ilikuwaje? Na vipi wamarekani wameshamuondoa Assad pale Syria? Naomba majibu tafadhali.
Mzee baba akiingiza mkono wake mahali hapo panakuwa pagumuHawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.
urusi ashachukua base zote ukraine, amechukua viwanja vya ndege, na ameshakontrol anga lote. sijii watapitia wapi. na ninajua hawawezi kuwateketeza waukraine waliobaki pale na warundi wakiwa ndani.Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita amabyao hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu,hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi,na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN,Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo,baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Kila kitu huanza kama ndoto.Labda kwenye ndoto
Kila kitu huanza kama ndoto.
anaivutia NATO waingie... wewe huoni wenyewe wanasema Russia anatumia old weapons ambazo hazina shabaha, sasa hizo modern wataka zikatumike wapi ? Natest mitambo!!!Kama Ukraine wiki ya tatu hii hapo kyiv hamjakanyaga ndio mtawaweza NATO?
Wanapoteza kodi za wananchi bure tuNimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN,Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Mimi namshauri Mh. raisi wa Tanzania mama samia suluhu. Awaambie watanzania wote waliopo urusi na nchi za NATO warudi Tanzania haraka ikiwa pamoja na mabalozi wetu waliomo kwenye hizo nchi.
Pia jeshi letu lianze mazoezi kujiweka tayari tayari kwa lolote
NATO wakiingilia ugonvi tujiandae kwa ww3Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN,Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Nato wakati wanaipiga Iraq,pamoja na wingi wao walitumia miezi mingapi?Kama Ukraine wiki ya tatu hii hapo kyiv hamjakanyaga ndio mtawaweza NATO?
Kwa Saddam Hussein haikuwa marekani tu,ilikuwa nato nzima,Kwani hapo Ukraine unadhani NATO hawashiriki? Hizo military supplies, mercenaries na vikwazo dhidi ya urusi ndo kushiriki kwenyewe. BTW hivi NATO walitumia muda gani kumwangusha Gadafi pale Libya? Vipi marekani na it's allies pale kwa Sadam Iraq ilikuwaje? Na vipi wamarekani wameshamuondoa Assad pale Syria? Naomba majibu tafadhali.
Huo ni ukweli usio kuwepo,Pentagon ilitangaza ikimtaka Assad ndani ya siku saba awe amejiuzuru,la sivyo Damascus itasambaratishwa na yeye kukamatwa,Kremlin ilitoa tamko,kuwa itajibu kwa nguvu zake zoote,Hawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.