Leo tarehe 16 Machi 2022 NATO waanza mazoezi makali ya kijeshi

Leo tarehe 16 Machi 2022 NATO waanza mazoezi makali ya kijeshi

Kwani hapo Ukraine unadhani NATO hawashiriki? Hizo military supplies, mercenaries na vikwazo dhidi ya urusi ndo kushiriki kwenyewe. BTW hivi NATO walitumia muda gani kumwangusha Gadafi pale Libya? Vipi marekani na it's allies pale kwa Sadam Iraq ilikuwaje? Na vipi wamarekani wameshamuondoa Assad pale Syria? Naomba majibu tafadhali.
Hawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.
 
Hawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.
Mzee baba akiingiza mkono wake mahali hapo panakuwa pagumu
 
Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita amabyao hayajawahi kufanyika kabla.

Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.

Wazo langu,hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi,na baadae ikaingia Ukraine.

NAKO TAIWAN,Leo hii.


Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo,baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi

Naomba kuwasilisha.
urusi ashachukua base zote ukraine, amechukua viwanja vya ndege, na ameshakontrol anga lote. sijii watapitia wapi. na ninajua hawawezi kuwateketeza waukraine waliobaki pale na warundi wakiwa ndani.
 
Watu wanapigwa Michi huko Vitani nyinyi mnafanya mazoezi,Fanyeni Mazoezi mkimaliza kaogeni mkalale.
 
Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.

Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.

Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.

NAKO TAIWAN,Leo hii.

Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi

Naomba kuwasilisha.
Wanapoteza kodi za wananchi bure tu
 
Mimi namshauri Mh. raisi wa Tanzania mama samia suluhu. Awaambie watanzania wote waliopo urusi na nchi za NATO warudi Tanzania haraka ikiwa pamoja na mabalozi wetu waliomo kwenye hizo nchi.
Pia jeshi letu lianze mazoezi kujiweka tayari tayari kwa lolote

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.

Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.

Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.

NAKO TAIWAN,Leo hii.

Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi

Naomba kuwasilisha.
NATO wakiingilia ugonvi tujiandae kwa ww3
Tufwile nyambara! tufwile umundu gwa kyala......
nitaacha ugali wangu na kambale
 
Kwani hapo Ukraine unadhani NATO hawashiriki? Hizo military supplies, mercenaries na vikwazo dhidi ya urusi ndo kushiriki kwenyewe. BTW hivi NATO walitumia muda gani kumwangusha Gadafi pale Libya? Vipi marekani na it's allies pale kwa Sadam Iraq ilikuwaje? Na vipi wamarekani wameshamuondoa Assad pale Syria? Naomba majibu tafadhali.
Kwa Saddam Hussein haikuwa marekani tu,ilikuwa nato nzima,
 
Hawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.
Huo ni ukweli usio kuwepo,Pentagon ilitangaza ikimtaka Assad ndani ya siku saba awe amejiuzuru,la sivyo Damascus itasambaratishwa na yeye kukamatwa,Kremlin ilitoa tamko,kuwa itajibu kwa nguvu zake zoote,
 
Back
Top Bottom