Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchunguMrusi ataondoka kwa njia ya mazungumzo hao NATO Kwa Russia ni watoto wadogo Tu.
Marekani alikuwa na Uingereza tu, labda hauna kumbukumbu au ulikuwa mdogo.Kwa Saddam Hussein haikuwa marekani tu,ilikuwa nato nzima,
US paper tigerHawakuwa na sababu ya kumuondoa Assad pale Syria kwasababu - walishaona hasara za kumuondoa kiongozi mwenye nguvu kubwa pale Libya ( strong man)- Kanali Ghadafi, Libya imekuwa nchi ambayo haitawaliki. Vile vile Assad angetoka - Syria haitatawalika itaongeza vurugu kwa nchi za ulaya. Siku zote maslahi yao kwanza.
Mbona Ukraine mpaka sasa inawasumbua?Mrusi ataondoka kwa njia ya mazungumzo hao NATO Kwa Russia ni watoto wadogo Tu.
According to Mr Putin they are successful.Mbona Ukraine mpaka sasa inawasumbua?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi namshauri Mh. raisi wa Tanzania mama samia suluhu. Awaambie watanzania wote waliopo urusi na nchi za NATO warudi Tanzania haraka ikiwa pamoja na mabalozi wetu waliomo kwenye hizo nchi.
Pia jeshi letu lianze mazoezi kujiweka tayari tayari kwa lolote
Tunakulemaza na tuna kuchosha kisha tuna kutisha mwisho tunakupiga while huna nguvu kupigana na ukiwa na hofu mwisho tunakumalizia. Thanks Nato genius way.Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN,Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Nyukilia zikianza kupigwa tunatakiwa tujiandae kupokea wakimbizi kutoka Ulaya.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi hatuna ubavu wa kujiandaa na hiyo vita
Uwezo wa Kujiandaa tunao, uwezo wa kulinda mipaka yetu tunao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi hatuna ubavu wa kujiandaa na hiyo vita
Kujiweka tayari kupigana na nani?Mimi namshauri Mh. raisi wa Tanzania mama samia suluhu. Awaambie watanzania wote waliopo urusi na nchi za NATO warudi Tanzania haraka ikiwa pamoja na mabalozi wetu waliomo kwenye hizo nchi.
Pia jeshi letu lianze mazoezi kujiweka tayari tayari kwa lolote
Oooh Lord, labda dhidi ya MalawiUwezo wa Kujiandaa tunao, uwezo wa kulinda mipaka yetu tunao
Ha ha haa.Wanapoteza kodi za wananchi bure tu
Kwamba nchi 30 zinajiandaa kumkabili nchi 01.Habari tamu sana hizi
Ha ha haaWatu wanapigwa Michi huko Vitani nyinyi mnafanya mazoezi,Fanyeni Mazoezi mkimaliza kaogeni mkalale.
Nimeiona hii habari Al Jazeera.
Umoja wa NATO wamekutana katika mji wa Oslo Norway na kuanza mazoezi makubwa ya kivita ambayo hayajawahi kufanyika kabla.
Mazoezi hayo ambayo wao wamedai ni mazoezi ambayo hufanyika Kila baada ya miaka miwili yatahusisha kujikinga na mashambulizi ya nyukilia, na ainabalimbali ya mashambulizi.
Wazo langu, hata Urusi ilanza mazoezi namna hii huko Beralusi na baadae ikaingia Ukraine.
NAKO TAIWAN,Leo hii.
Leo tarehe 16 machi 2022 Taiwan imeanza mazoezi makali sana ya kumzuia Adui asiingie katika visiwa hivyo, baada ya kuona Ukraine kavamiwa na Urusi
Naomba kuwasilisha.
Yah ni muuajiKwamba nchi 30 zinajiandaa kumkabili nchi 01.
Ha ha haa.
ila nimwenye nguvu sanaaaYah ni muuaji