Leo tarehe 16 Machi 2022 NATO waanza mazoezi makali ya kijeshi

US paper tiger
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi hatuna ubavu wa kujiandaa na hiyo vita
 
Tunakulemaza na tuna kuchosha kisha tuna kutisha mwisho tunakupiga while huna nguvu kupigana na ukiwa na hofu mwisho tunakumalizia. Thanks Nato genius way.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi hatuna ubavu wa kujiandaa na hiyo vita
Nyukilia zikianza kupigwa tunatakiwa tujiandae kupokea wakimbizi kutoka Ulaya.
 
Kujiweka tayari kupigana na nani?
 


Na sisi tuanze mazoezi makali ya kuing'oa CCM madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…