Tunakulemaza na tuna kuchosha kisha tuna kutisha mwisho tunakupiga while huna nguvu kupigana na ukiwa na hofu mwisho tunakumalizia. Thanks Nato genius way.
TumainiEl.
Putin bado hajafa,
Tunasubiri msiba wa Kiongozi mkubwa wa nchi kubwa kabisa hapa duniani.
Ulitabiri atakufa kimyakimya.
Ulisema majasusi wa west wameshafanya Yao.
Tuendelee kusubiri utabiri wako au?