Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Nyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake

Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae

Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
Aisee mwana, maza house anatuonea gere jinsi tunavyovusha vimwana. Kama vipi tuwaibukie binti zake Miss Natafuta na cariha ili wanase mtegoni
 
Mama mwenye nyumba anaanikaga michupi yake mikubwa mlangoni kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…