shylock
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 795
- 1,334
Aaaah. Wewe mi nimenunua juzi tu hata week haijaisha muulize ma mwenye nyumbaHuyu mshenz ikifika zam yake kununua umeme anajifanya kuchelewa kurudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah. Wewe mi nimenunua juzi tu hata week haijaisha muulize ma mwenye nyumbaHuyu mshenz ikifika zam yake kununua umeme anajifanya kuchelewa kurudi
Una utani na dada yangu Shunie yaani badala ya kumsemea mazuri kama alivyo mzuri unamuongelea vichamboNimejaribu kuwaza hapa vitu, vituko nilivyokutana navyo nyumba ya kupanga nikajikuta nacheka mwenyewe.
Sasa basi naamini kila mtu ana vitu na changamoto na vituko anakutana navyo ,so tunaanza kushuka coment na kujibizana kama watu tuishio nyumba za kupanga tufanye wapangaji tuko wengi. Kwahyo fanya kama tunaishi hizo nyumba tukiwa majirani.
Mama mwenye nyumba ni Shunie
Nanza mimi
Jamani majirani nauliza nani Kachukua kopo la chooni, silioni humu…
… .
Ww nawe acha ushamba luku ya miatatu haiaribu mita
Sawa Mzee mwenzanguNiko apa we mzee
Tunaunga mkono jitihada siunajua rais ni mwanamke [emoji28]Nashindwa kuchangia maana naona uzi umekaa kidada dada yaani!
[emoji23][emoji23][emoji23]Alaf vyumba havina dali [emoji28][emoji28][emoji28]
Sio wote we wataje tu kina Kilawo, Da vincci na Panchito. mie simo. Au nasema uongo Jamani??Nyie wapangaji wa kiume mbona mnabadilisha sana wanawake
Ndio maana huwa sipendi wapangaji ambao hawana familia hapa kwangu kwa nini usitafute mwanamke mmoja ukatulia nae
Mkataba wenu kila mmoja ukiisha siwahitaji hapa kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya nayo yanatombana mchana wote huu hata hayaoni aibu.