balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Tulipigwa 1-5 goli letu alifunga Jabir Aziz Steamer.Kuna jamaa mwanafunzi wa Green Acres aliruka akaingia uwanjani kumkumbatia Kaka.Alichezea virungu balaaNimekumbuka Taifa Stars Walivocheza na Brazil uwanja wa Taifa enzi hizo.Tulipigwa Mabao mawili ehe.Mgeni Rasmi mzee wa msoga Rais .