Watu weupe hawapend kabisa vitu vinavyoanzia afrika,hawakuyapenda kabisa mavuvuzela
Na mimi siku hz nimetokea kuyachukia sana,pia nachukizwa sana na baadhi ya mashabik hapa afrika hasa nchi za kiarabu wale wanaotumia vipaza sauti vodogo kuwaibisha mashabik
Kama nyie ni mashabik wa kwel tumieni tu mdomo mtasikika