Leo tukate mzizi wa fitina: Nani mkali kati ya Young D, Young Killer na Dogo Janja?

NANI MKALI?


  • Total voters
    27
  • Poll closed .
Hakuna mwanamuziki hapo, hao wote ni wasanii tu.....waigizaji tu wa luninga, hakuna chochote.
 
Mkuu itakua unatokea kaskazini , Young D kaanza mziki kabla ya dogo iweje leo aje kuwa role model wake? [emoji23][emoji23][emoji23]
duh, natokea kibosho kweli, I meant young killer
 
Mpaka hapa young killer msodoki anaongoza akifatiwa na young d paka rasta ,janjaroo anashika mkia
 
Ukimpenda janjaro, mpende d na killer sababu mi na ww ni raha hao wote ni shidaa


nduki
 
Young Killer ana punch line ambazo unaweza kusikiliza nyimbo yake baada ya mwaka ndo ukaelewa anamaanisha nini.

Kwenye ngoma ile yuko.na stamina ft quick raka
Ana line anakwambia wajenzi hawanitaki eti kisa nakula bati

Au mwembe chai hakuna breakfast


None of young d na janjaro wanaeza andika vitu hivyo
 
hao wote role model wao ni dogo janja, washakiri hivyo
hapana mkuu,young D kitambo kabla ya wote,ila killer ndo kakiri kwamba janjaro kam inspire kwenye hiphop sababu D alivyotoka alikua analegeza kdg kama ile ngoma yake ya ticha sijui dent tofauti na janjaro ngoma yake ya Anajua
 
Kwenye nini, kuvaa au???
Kama kuimba wenyewe mbona washakubali kuwa kaka yao mkubwa Young David~Dar es salaam ndio kiboko yao
 
I concur. Young D na Blue byser ni wasanii wenye flow nzuri, versatility ya hatari ilibidi wawe mbali zaidi ya walipo sasa basi tu. Uwe mgumu au mlaini lazima uwakubali hawa jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…