Leo tule catress na juice

Tangu matina alivyoambiwa mpewe uhuru wa kununua sio lazima kula M&I. Wala kukatwa R/A ndiyo ikapunguza huduma

🀣🀣 rafiki yako Mwamini mlienda nae nane3sita yupo wapi?
Now ata sijui kapotelea wapi

Af ilikuwa inakopesha sana wengine hawajalipa up now πŸ˜‚
 
Mwanaume unapika ivi na Fridge ina hadi Juice ya kutengeneza mwenyewe...Wewe kweli Ni Team kataa ndoa kwa vitendo sio wale wanasema kataa ndoa ilihali yupo kwenye mapaja ya Mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…