Jitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta π π πHuko kwa bed nampika mpk ananena kwa lugha, kazi ipo huku kwenye jiko la kushibisha tumbo aiyiiiii πΉπΉπΉ
Kwanza nncheke..!!
Ata visipo iva ilia abalance ππJitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta π π π
Nataka vuguvugu π au JotoridiAaa acha bc
Nitalupashia nikurequest boltNataka vuguvugu π au Jotoridi
Dogo sitanii mi kupika zero, zaidi ya kuchemsha maji ya kuoga huko kwingine ni vichekesho ujue πΉπΉπΉShida umesoma bweni na ulikuwa mgomvi ππ
π π πAta visipo iva ilia abalance ππ
Nyie mnatongozona na bundle langu πΉMimi muoga wa vitu vya moto π
Twende basi tukale mishkaki πNyie mnatongozona na bundle langu πΉ
Kaza basi unacheka cheka nini? Unatongozaje hivyo Mwachi mdogo wangu πΉπΉAaa acha bc
Sawa imeisha iyo juma mosi nitafanya ivyo uwe liveDogo sitanii mi kupika zero, zaidi ya kuchemsha maji ya kuoga huko kwingine ni vichekesho ujue πΉπΉπΉ
Pika pilau weekend kwaajili yangu nijifunze..!!
Dah poleNyie mnatongozona na bundle langu πΉ
Au sio poaKaza basi unacheka cheka nini? Unatongozaje hivyo Mwachi mdogo wangu πΉπΉ
Ulitakiwa umuulize yuko wapi umpelekee catress.. wee unamwambia aje kwa akili zako atakuja?? Akila nauli uanze kuleta uzi wa malalamiko hapa πΉπΉEmbu nieleke inaombwaje ase we kichwa kibovu ππππ
Ase π«‘ we kibokoUlitakiwa umuulize yuko wapi umpelekee catress.. wee unamwambia aje kwa akili zako atakuja?? Akila nauli uanze kuleta uzi wa malalamiko hapa πΉπΉ
Zime kaa poa sanaNami nilizipika majuzi
Katles nyama inawekwa katikati kama alivyoweka mtoa mada. Kwa jinsi ninavyojua mimi pia ila kama unavyojua mapishi yapo ya aina mbalimbali.Kwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.
Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
πΉπΉπΉ hiyo chumvi niliwahi kuzidisha wee palikucha na vile ana gubu, aliongea km kameza flash..!! π€£Jitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta π π π