Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja hiviNiambie nikuandalie kabisa sema unachotaka kula
Na umekula kabisa π€£Naachaje sasa π π π
Sawa nasubirSiku moja hivi
Majeed inaonekana huwa unakula kama unakufa leo.Kama ni jioni umekula hivo saa nane usiku usingizi utakua umekata unaskilizia njaaa ya Karne
πππSema Mbaruku hujuagi hata kujificha bwasheeMajeed inaonekana huwa unakula kama unakufa leo.
Sisi wengine tuna maanishaMwanaume unapika ivi na Fridge ina hadi Juice ya kutengeneza mwenyewe...Wewe kweli Ni Team kataa ndoa kwa vitendo sio wale wanasema kataa ndoa ilihali yupo kwenye mapaja ya Mkewe
Kwenye kula hapo nilitaka niende kesho asubuhi π π π πNa umekula kabisa π€£
Uoga π€£Kwenye kula hapo nilitaka niende kesho asubuhi π π π π
Why usikuje nowKwenye kula hapo nilitaka niende kesho asubuhi π π π π
Umenichekesha sanaMwanaume unapika ivi na Fridge ina hadi Juice ya kutengeneza mwenyewe...Wewe kweli Ni Team kataa ndoa kwa vitendo sio wale wanasema kataa ndoa ilihali yupo kwenye mapaja ya Mkewe
Zikipoa ndo tamu π kwani we hujuiUoga π€£
Mimi muoga wa vitu vya moto πWhy usikuje now
Huko kwa bed nampika mpk ananena kwa lugha, kazi ipo huku kwenye jiko la kushibisha tumbo aiyiiiii πΉπΉπΉMapishi makuu ni on kitandani πyeye anataka nini tena
Haiombwi hivyo dogo πΉWhy usikuje now
Aaa acha bcMimi muoga wa vitu vya moto π
Embu nieleke inaombwaje ase we kichwa kibovu ππππHaiombwi hivyo dogo πΉ