Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Kwani radio na tv station kwa Tanzania iko clouds pekeyake?SONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.
Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.
Kwani radio na tv station kwa Tanzania iko clouds pekeyake?
Sana tu.. fid mwenyewe ana hamu yakufanya nga na DuKe na mujohukiTamaduni wako vizuri sana hawa jamaa, ila nao wanamkubali Fareed
Wewe utakuwaa umezaliwa 2010 ebu rudisha hiyo.simu kwa mama akooMbona fid mchache sana kwa Stamina fid anakaa!!
Baba malcom ZohangKimichano mkuu
Nikki mbishiNdo nan huyo
Hamna msanii wa hip hop bongo anamfikia fid q kwa chunusi.Aman iwe nannyi wakuu
Nataka leo tumalize ubishi mazee
Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule
Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu
Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin
Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq
LONDON BABY
Bila shaka anapiga deki siku hizi kama wakongomani.Duh jamaa mbona yuko soft sana
unajua one incredible is the most underrated MC hapa bongo ila uwezo wake wa kuandika ni level za KENDRICK big up UNO pure number tunaojua RAP tunakuelewa broZaiid na One incredible wanaweza, endapo media zikianza kusupport Hip Hop.