Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

SONGA.. NIKKI MBISHI, ONE The Incredible, na crew nzima ya Tamaduni muziki hawa jamaa hawafai ni vile wana bifu na media ya unyonyaji clouds ndo maana hawatoboi... nyimbo zao zmebaki kuwa MAKITABA ZA GETTO.

Cc: power, sifa ya uandishi, mahiri, na zingne nyingi skiliza.
Kwani radio na tv station kwa Tanzania iko clouds pekeyake?
 
Songa peke yake huyu dogo ni hatari mno....

Stamina kama angeendelea kukaza kwa speed ile aliyokuwa nayo miaka mitatu miwili nyuma angekuwa poa sana.

Hata Young Killer asingejitoa kwenye Label yake ya zamani angefata nyayo ila siku hizi nae anaandika utoto utoto tu
 
Aman iwe nannyi wakuu

Nataka leo tumalize ubishi mazee

Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule

Je kuna msanii mgumu kama fidq japo hata nusu yake tu


Kwa miaka ya nyuma kidogo msanii john makin alishindanishwa na huyu ngosha, je kwa sasa kuna mtu anaweza thubutu kweli kumfananisha fidq na john makin

Naomba tumalize huu ubishi mazee kama kuna msanii wa rap ambaye anaweza fika hata nusu ya fidq

LONDON BABY
Hamna msanii wa hip hop bongo anamfikia fid q kwa chunusi.
 
Hii kitu inabidi niiweke sawa kwa mara nyingine...
Ndani ya ardhi ya TZ (bongo land na viunga vyake)
Hakuna(narudia kwa herufi kubwa HAKUNA) rapper yeyote wa kumfananisha na fid q.
Fid ndio first - last and every thing in between .

Kwahio asitokee mtu akamfananisha fid na mtu yeyote ndani ya bongoland
 
Back
Top Bottom