Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
🤣🤣🤣
Matarajio yasije yakakudhurumu maana una roho nyepesi kama karatasi. Kuna kipindi Yanga wamepigwa gemu mbili mfululu ukasema una staafu kushabikia soka la Bongo
 
🤣🤣🤣
Matarajio yasije yakakudhurumu maana una roho nyepesi kama karatasi. Kuna kipindi Yanga wamepigwa gemu mbili mfululu ukasema una staafu kushabikia soka la Bongo
Haya ni mambo ya uhakika yameshatendeka kwenye ulimwengu wa roho
SBS 1 5imba 1
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Simba hachomoki leo
 
Umeshindwa kuuona umasikini wako kwenye ulimwengu wa roho ndio uje uone mambo ya simba.
20240912_085933.jpg
 
Back
Top Bottom