Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

Mnaumia sana kuona "5imba" imekaa kwa kutulia pale kileleni. Mioyo yenu haina amani kabisa.

Mkitaka kumtoa "5imba" pale kileleni, subirini mtakapotolewa hatua ya makundi mashindano ya CAF na Simba itakapokuwa na viporo ndiyo mtaonja ladha ya kuwa kileleni kwa muda.
 
Aisee una roho nyepesi sana halafu mambo ya kiroho kwenye mapambano ya wazi yanatoka wapi???
AU maneno ya Waganga?
Kila unachokiona dhahiri ujue sisi wataalam tushaliona kabla halijatendeka
 
Ukiahidi chochote itapendeza
Kuna mwenzako huwa naona anaomba msamaha kila mechi ya simba inapomalizika.
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Kama kuandika Hujui Utaweza kutabiri?
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Uto bhana
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Nilikuuliza ulimwengu Gani w Roho?
Au wa kijijini kwenu mkuu 😂
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Mganga tunataka kujua matokeo!
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Ona hii nyumbu
 
Back
Top Bottom