SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Mnaumia sana kuona "5imba" imekaa kwa kutulia pale kileleni. Mioyo yenu haina amani kabisa.
Mkitaka kumtoa "5imba" pale kileleni, subirini mtakapotolewa hatua ya makundi mashindano ya CAF na Simba itakapokuwa na viporo ndiyo mtaonja ladha ya kuwa kileleni kwa muda.
Mkitaka kumtoa "5imba" pale kileleni, subirini mtakapotolewa hatua ya makundi mashindano ya CAF na Simba itakapokuwa na viporo ndiyo mtaonja ladha ya kuwa kileleni kwa muda.