Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

Leo tutashuhudia maamuzi mabaya, mechi itaisha Kwa sare 1 - 1

Wewe mtabiri uchwara ngara23 njoo huku kwenye uzi wako ujibu hoja ya kwanini usichukuliwe hatua kali kwa kutoa utabiri wa uongo.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Sheikh Yahya...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma🤣🤣🤣🤣🤣
 
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma🤣🤣🤣🤣🤣
Blazangu mipumbavu mingi inatumia nguvu kubwa kuikamia Simba ikidhani Simba ni Pamba
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Mmh, sawaa, wametoka hivohivo, cha kushangaza, shetani na mama mkwe wake walikuwa wanahitaji busara za mwamuzi; ...ubaya ubwela utamfikia kila mtu..
 
Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1

Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza

Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma

Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi

Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"

Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1

Yanga bingwa
Zumbukuku njoo ulete matokeo yako.Huu ushamba wa kujifanya Mtabiri Yahya Hussein sijui utaacha lini.Kila mara unadhihirisha ubaradhuli wako lakini huachi.Nahisi kuna kitu hakipo sawa upstairs.
 
Zumbukuku njoo ulete matokeo yako.Huu ushamba wa kujifanya Mtabiri Yahya Hussein sijui utaacha lini.Kila mara unadhihirisha ubaradhuli wako lakini huachi.Nahisi kuna kitu hakipo sawa upstairs.
Na wewe ulivo lofa mbumbumbu ukaamini?
 
Back
Top Bottom