Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh Yahya...Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza
Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma
Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi
Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"
Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1
Yanga bingwa
Shituka sasa usikojolee kitanda cha mshuaSio Mimi
Mchezo imechezwa umeisha kwenye ulimwengu wa roho na huwezi badilisha kitu
Matokeo ni 1 - 1
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongezaKwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza
Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma
Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi
Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"
Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1
Yanga bingwa
Blazangu mipumbavu mingi inatumia nguvu kubwa kuikamia Simba ikidhani Simba ni PambaSingida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza
Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kwa nini nisiamini?Ulivo mbumbumbu na ww unaamini?
Mmh, sawaa, wametoka hivohivo, cha kushangaza, shetani na mama mkwe wake walikuwa wanahitaji busara za mwamuzi; ...ubaya ubwela utamfikia kila mtu..Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza
Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma
Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi
Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"
Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1
Yanga bingwa
Zumbukuku njoo ulete matokeo yako.Huu ushamba wa kujifanya Mtabiri Yahya Hussein sijui utaacha lini.Kila mara unadhihirisha ubaradhuli wako lakini huachi.Nahisi kuna kitu hakipo sawa upstairs.Kwenye ulimwengu wa roho mchezo kati ya Singida Black Star ✨ dhidi ya Simba ,
Imechezwa na umemalizika huku matokeo yakiwa 1-1
Singida Black Star ⭐ wamepata goal dakika ya 39 huku Simba wakipata goli la penalty ya kubebwa mnamo dakika za nyongeza
Mechi imeisha hivo Kwa sare japo, tulijaribu kuipambania Simba ipate ushindi ila mambo yamegoma
Sare hii ina maana kwamba kesho Yanga akishinda anaongoza ligi
Kuna msemo kuwa " mtoto halali na hela, hulala na nepi"
Kila la heri mtakaotazama marudi
Ya
SBS 1 5imba 1
Yanga bingwa
Na wewe ulivo lofa mbumbumbu ukaamini?Zumbukuku njoo ulete matokeo yako.Huu ushamba wa kujifanya Mtabiri Yahya Hussein sijui utaacha lini.Kila mara unadhihirisha ubaradhuli wako lakini huachi.Nahisi kuna kitu hakipo sawa upstairs.
Dogo Punguza mihemuko aiseeAcha shobo we kolo