Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

Tuache utani kuanzia 1990 mpaka 2010 palikua na wanamuziki wanaojua kuimba
Haijawahi kutokea kabisa aisee. Na kilichowasaidia wengi wao walikuwa wakichukua nyimbo za miaka ya nyuma za wasanii wakongwe na kuzifanyia modification na kuzitengeza kisasa na ndio maana walikuwa wanatoa ngoma kali.

Fuatilia asilimia 90 ya ngoma zilizotamba unakuta beat imekuwa sampled kutoka nyimbo ya zamani ya miaka ya 80,70,60,au 50 huko zamani.

Wanasema ukichukua kazi ya legend au style yake ukaifanyia maboresho lazima utoke na kazi bora mara mbili ya ile ya aliyefanya awali. So ule ubora ndio unakubeba.
 
Shida ulikuwa mdogo ulikuwa bado unavaa nepi. Hukuyashuhudia haya ya kuvaa plasta na kujiona Nelly.

Miaka ya kuvaa jeans za Fubu, Fat joe, Phat farm, Sean John, etc.

Viatu air force one, air Jordan, Andyone na Taima.

Manina.

Enzi zile mi nilikuwa mgumu aise maana ile mikato ya Fubu nilikuwa siiwezi kabisa. Blingbling ilinipitia kushoto sana
 
Shida ulikuwa mdogo ulikuwa bado unavaa nepi. Hukuyashuhudia haya ya kuvaa plasta na kujiona Nelly.

Miaka ya kuvaa jeans za Fubu, Fat joe, Phat farm, Sean John, etc.

Viatu air force one, air Jordan, Andyone na Taima.

Manina.
PLasta ya Nelly ilikuwa SHIDA, mabitozi waliibandika bila kujua maana yake, kumbe ilikuwa ni protest na namna ya kumkumbuka member mwenzao wa St Lunatics aliyekuwa kafungwa jela. Enzi hizo nikienda internet cafe Iringa mitaa ya uhindini ilikuwa lazima usikie computer zaidi ya nne zinaplay back Neeeely I love youuuuuu, Nely iii neeeeed you, hatari sana
 
Shida ulikuwa mdogo ulikuwa bado unavaa nepi. Hukuyashuhudia haya ya kuvaa plasta na kujiona Nelly.

Miaka ya kuvaa jeans za Fubu, Fat joe, Phat farm, Sean John, etc.

Viatu air force one, air Jordan, Andyone na Taima.

Manina.
Hahahaha [emoji23][emoji23]Taima umenikumbusha mbali sana mazee. Niko form 2 2001 taima ndo habari ya mjini nikaleta bonge la zengwe home hadi bi mkubwa tukazama nae mitaa ya clock tower kuninunulia [emoji23][emoji23]. Hapo namake make viela vya shule ninunue jeans zile zinawaka waka pale kwa Mkorea ilikuwa 25k acha kabisa. Hapo T-shirts za Phat Farm, Dada Supreme, Roca Wear, sijui SOHK school of hard knocks yan balaa tupu. bado una jezi kibao za basketball Kina Iverson, sijui Jordan yuko Philadelphia 76ers, Kobe ya Lakers etc yan purukushani mtindo mmoja. Headband za kila rangi [emoji23][emoji23]

Ujana bana [emoji23] kama hujapitia hizi Mambo huwezi kujua raha zake
 
Hahahaha [emoji23][emoji23]Taima umenikumbusha mbali sana mazee. Niko form 2 2001 taima ndo habari ya mjini nikaleta bonge la zengwe home hadi bi mkubwa tukazama nae mitaa ya clock tower kuninunulia [emoji23][emoji23]. Hapo namake make viela vya shule ninunue jeans zile zinawaka waka pale kwa Mkorea ilikuwa 25k acha kabisa. Hapo T-shirts za Phat Farm, Dada Supreme, Roca Wear, sijui SOHK school of hard knocks yan balaa tupu. bado una jezi kibao za basketball Kina Iverson, sijui Jordan yuko Philadelphia 76ers, Kobe ya Lakers etc yan purukushani mtindo mmoja. Headband za kila rangi [emoji23][emoji23]

Ujana bana [emoji23] kama hujapitia hizi Mambo huwezi kujua raha zake
Kwa Mkorea, kwa Makoba na the hood maduka ya pamba kwa vijana kipindi hiko
 
PLasta ya Nelly ilikuwa SHIDA, mabitozi waliibandika bila kujua maana yake, kumbe ilikuwa ni protest na namna ya kumkumbuka member mwenzao wa St Lunatics aliyekuwa kafungwa jela. Enzi hizo nikienda internet cafe Iringa mitaa ya uhindini ilikuwa lazima usikie computer zaidi ya nne zinaplay back Neeeely I love youuuuuu, Nely iii neeeeed you, hatari sana
Dah hayo maisha ya Internet cafe acha kabisa [emoji23][emoji23] cafe ipi hatujaingia daslam mjini [emoji23][emoji23] Ila kuna kituko kimoja sitakaa nisahau. Enzi hizo net cafe saa nzima 500 . hiyo ndo ilikuwa bei elekezi. Labda uende za kishua mitaa ya Ohio serena saa nzima buku 2. Sasa Bwana kuna mshkaji wangu akaleta chimbo jipya liko mnazi mmoja mitaa ya mtendeni na kisutu akadai masaa matatu buku. Basi raia Hao kama wote [emoji23][emoji23] tukatia timu. Computer inaload hatari. Yan kufungua page dakika 5. Kumbe lile saa waliloongeza Ni kufidia loading [emoji23][emoji23][emoji23].
 
IMG_2729.jpg

IMG_2730.jpg

IMG_2731.jpg

IMG_2732.jpg

IMG_2733.jpg

IMG_2734.jpg

IMG_2735.jpg

IMG_2736.jpg

IMG_2737.jpg
 
Sijaona akikumbukwa mtu mzima 2PAC! Na madude yake kama

California love
Dear mama
Life goes on
Hit em up
Me 'n' my girlfriend
Me against the world

Vp mazee!? Mjue mwamba alikuwa mnyama sana!

R. I. P
Umemleta huyu mwamba tegemea na BIG kufuatia, hawa jamaa inawezekana battle lao liliendelea pema peponi ndio maana mashabiki hawataki kuelewana nani mkali zaidi ya…
 
Shida ulikuwa mdogo ulikuwa bado unavaa nepi. Hukuyashuhudia haya ya kuvaa plasta na kujiona Nelly.

Miaka ya kuvaa jeans za Fubu, Fat joe, Phat farm, Sean John, etc.

Viatu air force one, air Jordan, Andyone na Taima.

Manina.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hawa watoto WA juzi wasamehe tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
PLasta ya Nelly ilikuwa SHIDA, mabitozi waliibandika bila kujua maana yake, kumbe ilikuwa ni protest na namna ya kumkumbuka member mwenzao wa St Lunatics aliyekuwa kafungwa jela. Enzi hizo nikienda internet cafe Iringa mitaa ya uhindini ilikuwa lazima usikie computer zaidi ya nne zinaplay back Neeeely I love youuuuuu, Nely iii neeeeed you, hatari sana
Nellyyyy....I...love youuuuuuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom