Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Jamaa anajuaT.I mnyama Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anajuaT.I mnyama Sana
Shaggy ana nyimbo kali + Sean paulBila shaggy Uzi huu ni batili alikua na goma lake Moja likipigwa disco kila mtu ananesa
Dat Be dem , humo wametupia fresh white Tttt za kutosha, Fredo Starr na jamaa zake onyx walikuwa too hot for tv, strictly hard to the coreWapi diddy 🔥🔥🔥🔥
Wapi freddo starr huyu mwamba hakutamba sana ila ghafla tu nimekumbuka songi lake dat be dem 🔥🔥🔥🔥
Kwangu ni the best gangster rap tour in the worldIle ilikuwa balaaa the up in smoke tour 2001 gangster rap in the world
We dem killaz dat u read about 🎶🎶🎤Dat Be dem , humo wametupia fresh white Tttt za kutosha, Fredo Starr na jamaa zake onyx walikuwa too hot for tv, strictly hard to the core
Sisqo na kundi lake la dru hill. Jamaa alikuwa bishoo balaa.
Kuna kundi la jagged edge, wale jamaa na ngoma zao fulani za kinyamwezi kuna moja inaitwa where is the party kuna nelly. Halafu walikuwa chini def jam ngoma anazigonja jamaine dupri producer tozi balaa.
**** mwanadada Eve alikuwa anachana balaa akiwa kundi la ruff ryders.
Kuna kundi la the fugees akiwa wycliff na mwanadada jina limenitoka. Yule dada alikuwa konyo aisee. Kuna ngoma fulani inaitwa guantanamela mle kacha vinaya mno.
Kuna fox brown yule dada alikuwa nachana si kidogo.
Kuna cris cross dah hawa jamaa nilikuwa anwaelewa sana
Ile ilikuwa balaaa the up in smoke tour 2001 gangster rap in the world
Really?Lil pump
I know I can ilitamba sanaNassir jones(NAS ESCOBAR,NAS MADAWA)
Chingy50cent, lil Wayne,bird man, Kelvin ludof,lody bankks, brick and race
Kama ulikuwa Manyoni au Uyole huwezi kuelewaKila mmoja alikuwa anabandika plasta? [emoji3] Hapo umetupiga mzee...
Kwahiyo hiyo kila mmoja inaexclude watu wa Uyole na Manyoni?Kama ulikuwa Manyoni au Uyole huwezi kuelewa
enzi hizo sony ericson, Mototrola L6 ndio simu zinazotamba mixer kuwa na infared kabla ya bluetooth🤣🤣Dah hayo maisha ya Internet cafe acha kabisa [emoji23][emoji23] cafe ipi hatujaingia daslam mjini [emoji23][emoji23] Ila kuna kituko kimoja sitakaa nisahau. Enzi hizo net cafe saa nzima 500 . hiyo ndo ilikuwa bei elekezi. Labda uende za kishua mitaa ya Ohio serena saa nzima buku 2. Sasa Bwana kuna mshkaji wangu akaleta chimbo jipya liko mnazi mmoja mitaa ya mtendeni na kisutu akadai masaa matatu buku. Basi raia Hao kama wote [emoji23][emoji23] tukatia timu. Computer inaload hatari. Yan kufungua page dakika 5. Kumbe lile saa waliloongeza Ni kufidia loading [emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi nilipewa Ada nikaenda kujinunulia Taima pair moja. Sitaki masikhara kabisa. Yaani me univalishe vile viatu vyeusi visivyo na chata. Khaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha [emoji23][emoji23]Taima umenikumbusha mbali sana mazee. Niko form 2 2001 taima ndo habari ya mjini nikaleta bonge la zengwe home hadi bi mkubwa tukazama nae mitaa ya clock tower kuninunulia [emoji23][emoji23]. Hapo namake make viela vya shule ninunue jeans zile zinawaka waka pale kwa Mkorea ilikuwa 25k acha kabisa. Hapo T-shirts za Phat Farm, Dada Supreme, Roca Wear, sijui SOHK school of hard knocks yan balaa tupu. bado una jezi kibao za basketball Kina Iverson, sijui Jordan yuko Philadelphia 76ers, Kobe ya Lakers etc yan purukushani mtindo mmoja. Headband za kila rangi [emoji23][emoji23]
Ujana bana [emoji23] kama hujapitia hizi Mambo huwezi kujua raha zake
Mafala wametulia sana hela wale. Me nilikuwa naenda kwa babu wa kihindi pale mitaa ya fire kariakoo. Mzee computers zake alikuwa amewekea zile partitions yaani jirani hawezi ona unatizama nini.Dah hayo maisha ya Internet cafe acha kabisa [emoji23][emoji23] cafe ipi hatujaingia daslam mjini [emoji23][emoji23] Ila kuna kituko kimoja sitakaa nisahau. Enzi hizo net cafe saa nzima 500 . hiyo ndo ilikuwa bei elekezi. Labda uende za kishua mitaa ya Ohio serena saa nzima buku 2. Sasa Bwana kuna mshkaji wangu akaleta chimbo jipya liko mnazi mmoja mitaa ya mtendeni na kisutu akadai masaa matatu buku. Basi raia Hao kama wote [emoji23][emoji23] tukatia timu. Computer inaload hatari. Yan kufungua page dakika 5. Kumbe lile saa waliloongeza Ni kufidia loading [emoji23][emoji23][emoji23].