Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

Sisqo na kundi lake la dru hill. Jamaa alikuwa bishoo balaa.
Kuna kundi la jagged edge, wale jamaa na ngoma zao fulani za kinyamwezi kuna moja inaitwa where is the party kuna nelly. Halafu walikuwa chini def jam ngoma anazigonja jamaine dupri producer tozi balaa.
**** mwanadada Eve alikuwa anachana balaa akiwa kundi la ruff ryders.
Kuna kundi la the fugees akiwa wycliff na mwanadada jina limenitoka. Yule dada alikuwa konyo aisee. Kuna ngoma fulani inaitwa guantanamela mle kacha vinaya mno.
Kuna fox brown yule dada alikuwa nachana si kidogo.
Kuna cris cross dah hawa jamaa nilikuwa anwaelewa sana
Laurine Hill nahisi ninekosea herufi ila matamshi nipo sahihi.
 
enzi hizo sony ericson, Mototrola L6 ndio simu zinazotamba mixer kuwa na infared kabla ya bluetooth[emoji1787][emoji1787]
Babu simu haikuwa kitu hata cha kufikiria kumiliki sababu ya uadimu wake. Nakumbuka kuna bwana mdogo m'moja wa kishua sana alikuwa anasoma Loyola, alikuwa tukikutana Bills amejikoki na gears zote yaani mixer ni M'marekani huyu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Unakuta kavaa zile vest kubwa za wacheza basketball juu ya flana, cheni kama tatu hivi tena kubwa za silver, jeans hizo za Sean John, chini amepiga buyu la maana (raba ya kibishoo), kichwani kavaa headband na mkononi ana handband pia, miwani, kabandika plaster shavuni kama Nelly, halafu hiyo jeans imevaliwa mlege halafu ndani ana pensi kama then kaning'iniza Motorola ya kuflip imekaa kama kalaptop kadogo, ukitaka kuiona hiyo sim ipo kwenye video ya Nelly na Kelly , Kelly anaonekana ameishika amekaa kweny dirisha. Halafu amening'niza Beeper (siku hizi hazipo tena).

Mradi tu aturushie roho mademu wamuone yeye tu mbwa yule [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Babu simu haikuwa kitu hata cha kufikiria kumiliki sababu ya uadimu wake. Nakumbuka kuna bwana mdogo m'moja wa kishua sana alikuwa anasoma Loyola, alikuwa tukikutana Bills amejikoki na gears zote yaani mixer ni M'marekani huyu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Unakuta kavaa zile vest kubwa za wacheza basketball juu ya flana, cheni kama tatu hivi tena kubwa za silver, jeans hizo za Sean John, chini amepiga buyu la maana (raba ya kibishoo), kichwani kavaa headband na mkononi ana handband pia, miwani, kabandika plaster shavuni kama Nelly, halafu hiyo jeans imevaliwa mlege halafu ndani ana pensi kama then kaning'iniza Motorola ya kuflip imekaa kama kalaptop kadogo, ukitaka kuiona hiyo sim ipo kwenye video ya Nelly na Kelly , Kelly anaonekana ameishika amekaa kweny dirisha. Halafu amening'niza Beeper (siku hizi hazipo tena).

Mradi tu aturushie roho mademu wamuone yeye tu mbwa yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Nmesoma Loyola kama namkumbuka huyu mwamba [emoji23][emoji23]. Alikuwa hakai upanga kweli?. Loyola tulikuwa na base yetu bills. Chini pembeni ya dancing floor. Shule zote za mjini (za kishua) zilikuwa na base zao. Shaaban Robert, Aga Khan mzizima, laureate, sijui esacs, al-muntazir, sijui Mary Mary Yan takataka zote. Ujana raha sana [emoji23][emoji23]
 
Mafala wametulia sana hela wale. Me nilikuwa naenda kwa babu wa kihindi pale mitaa ya fire kariakoo. Mzee computers zake alikuwa amewekea zile partitions yaani jirani hawezi ona unatizama nini.

Kwahiyo nilikuwa nina computer yangu hiyo ipo kona kule hakuna mtu anaweza kuona ukikaa huko. Nikijichimbia kule natulia nakula zangu picha za namna gani vipi tu.

Yule mzee alikuwa anatuchora sana nikifikiria saa hii kama alikuwa anacheki browsing history [emoji23][emoji23][emoji23]
Jumamosi foleni kama yote. Umewekewa time-watcher kwa juu [emoji23][emoji23] sasa Wewe jichanganye uwe unaangalia porn au kuchelewa kulog out Acc zako halafu time ikakata [emoji23][emoji23] Wengine walikuwa wanakomaa hawatoi hata dk 1 ya kulog out
 
Sisqo na kundi lake la dru hill. Jamaa alikuwa bishoo balaa.
Kuna kundi la jagged edge, wale jamaa na ngoma zao fulani za kinyamwezi kuna moja inaitwa where is the party kuna nelly. Halafu walikuwa chini def jam ngoma anazigonja jamaine dupri producer tozi balaa.
**** mwanadada Eve alikuwa anachana balaa akiwa kundi la ruff ryders.
Kuna kundi la the fugees akiwa wycliff na mwanadada jina limenitoka. Yule dada alikuwa konyo aisee. Kuna ngoma fulani inaitwa guantanamela mle kacha vinaya mno.
Kuna fox brown yule dada alikuwa nachana si kidogo.
Kuna cris cross dah hawa jamaa nilikuwa anwaelewa sana
Miss Lauryn Hill, ni anachana sana yule dada.
 
Flipmode squad
Busta rhymes
Westlife
Backstreet Boys
Isley brothers
Jojo
Boyz ii men
Celine dion
Aaron tippin
Don Williams
Kenny Roger's
Madona
Dolly parton-hello God
Bryan adams
Philip Collins
Marc Anthony - you sang to me
Shania twain
Jeremy
Naongezea na jamaa mmoja anajiita enrique- HERO
 
Marc Anthony
Lionel Richie
Enrique Iglesias
Justin Timberlake
Timberland
Rihanna
T.I

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naongezea
Akon
Shown kingstone
Whitney hostn
Na yule wa kuimba nyimbo moja wabongo wakairemex kwa kuitikia Ali nimboooooovu Ali nimboooovu uououou ohooooo Nina limenitoka
 
Hivi mnaraka kuniambia hamumjui Sonique nyie?!!!! Mbona hakuna anayemtaja?!!!!
 
Msiwahau ngoni tribe wale waliimb wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki mnungayembe yanahangaika Hawa jamaa ni wa mtoni kwa azizi ally badae wakaenda ukong uko

Utasikia out of topic
 
Kuna majamaa walifanya ngoma inaitwa "Maria Maria" humo kuna gitaa la Santana ni noma na nusu!
Santana kwenye gitaa,halafu umkute Mir Ben Al kwenye violin,mwisho umkute anayemix kwenye moja na mbili ni DJ Guetta,hapo acha tuu.
 
Back
Top Bottom