Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
kumbe msharudiana na mshkaji wangu Smart911
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe msharudiana na mshkaji wangu Smart911
PaparazziEXHIBIT huyu mwamba hatajwi sana ila ana dude lake silikumbuki vizuri jina beat yake imeshiba mpaka basi, something like easy kuna mwanadada ameimba chorus
Wale masela wanaitwa THE PRODUCT G&BKuna majamaa walifanya ngoma inaitwa "Maria Maria" humo kuna gitaa la Santana ni noma na nusu!
Nyimbo za kitambo ukisikiliza hazichoshiIle ngoma ndio Dj khaled kasimple ngoma yake ya Wild Thoughts featuring Rihanna goma tamu sana lile...
Ile ngoma aliandikiwa na ed Sheeran kama ulikuwa hujuihuyu sio wa zamani sana Mr Bieber ngoma yake ya Baby ila ilisumbua sana mtaani huyu jamaa
Westlife na UB40 ndio zaoHaijawahi kutokea kabisa aisee. Na kilichowasaidia wengi wao walikuwa wakichukua nyimbo za miaka ya nyuma za wasanii wakongwe na kuzifanyia modification na kuzitengeza kisasa na ndio maana walikuwa wanatoa ngoma kali.
Fuatilia asilimia 90 ya ngoma zilizotamba unakuta beat imekuwa sampled kutoka nyimbo ya zamani ya miaka ya 80,70,60,au 50 huko zamani.
Wanasema ukichukua kazi ya legend au style yake ukaifanyia maboresho lazima utoke na kazi bora mara mbili ya ile ya aliyefanya awali. So ule ubora ndio unakubeba.
Ed kwa kuandika namkubaliIle ngoma aliandikiwa na ed Sheeran kama ulikuwa hujui
Mwaka 1997 wimbo wa Puffy Daddy wa kumkumbuka Notorius BIG baada ya kufarikiNaanza na Ja Rule. Mwamba alitikisa miaka ile kwanzia mziki mpaka picha zake zilikuwa zinabandikwa sana kwenye magari.
Afu mwamba mwingine ni Nelly aliwaharibu sana vijana wa Kitanzania kila mmoja alikuwa anabandika plasta shavuni😂😂
Kulikuwa na t-shirt flani zina oicha yake zilivaliwa sana!
USA for Africa;Flipmode squad
Busta rhymes
Westlife
Backstreet Boys
Isley brothers
Jojo
Boyz ii men
Celine dion
Aaron tippin
Don Williams
Kenny Roger's
Madona
Dolly parton-hello God
Bryan adams
Philip Collins
Marc Anthony - you sang to me
Shania twain
Jeremy
[emoji457]Sijaona akikumbukwa mtu mzima 2PAC! Na madude yake kama
California love
Dear mama
Life goes on
Hit em up
Me 'n' my girlfriend
Me against the world
Vp mazee!? Mjue mwamba alikuwa mnyama sana!
R. I. P
80's was superb music era,Tuache utani kuanzia 1990 mpaka 2010 palikua na wanamuziki wanaojua kuimba
Freaky like meAdina Howard,salt n paper
Ova