Product g&bKuna majamaa walifanya ngoma inaitwa "Maria Maria" humo kuna gitaa la Santana ni noma na nusu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Product g&bKuna majamaa walifanya ngoma inaitwa "Maria Maria" humo kuna gitaa la Santana ni noma na nusu!
ongezea get it back ft chris brownT.I mnyama Sana na dude lake la Live your Life , na lile jingine la whatever you like , aisee huyu jamaa namkubali sana
ukweli kabisaTuache utani kuanzia 1990 mpaka 2010 palikua na wanamuziki wanaojua kuimba
wa sasa hivi wanavurunda sio bongo tu hata huko mamtoni miaka ya 2000 walikuwa wanatisha mnoView attachment 2615165
View attachment 2615166
Hizo ngoma na nyingine za huko 2000 huwa nazielewa kuliko nyingi za sasa hivi
Eve na goma lake la TambourineMadada wale wa New York ndio walikuwa wanachana vibaya mpaka leo niko full stream yao. Naongeaa kuhusu Da Brat, Eve, Lil Kim Mother of New York. Baadae akaja kuibuka huyu dada mfupi mweusi wa kuitwaa niko tungi saa hizi nasahau majina. Okay ntarudi huu uzi usiondoke nataka kutoa la moyoni
move bitch hapa Luda alitumbamba disco dah
Nelly 50 cent walivuruga sana watu mjini hapaPLasta ya Nelly ilikuwa SHIDA, mabitozi waliibandika bila kujua maana yake, kumbe ilikuwa ni protest na namna ya kumkumbuka member mwenzao wa St Lunatics aliyekuwa kafungwa jela. Enzi hizo nikienda internet cafe Iringa mitaa ya uhindini ilikuwa lazima usikie computer zaidi ya nne zinaplay back Neeeely I love youuuuuu, Nely iii neeeeed you, hatari sana
Yule mkewe inasemekana alikua na fuba la kutosha sanaUmemaliza mimi nilikua teja nalifatiliaga adi life style yake na mkewe tammy (mmbaya)😂😂😂ila ndio ivyo mwamba kazimia pale.
Sikumbuki vizuri na youtube haipo siku izi iyo live show video inaanza wherever you like matukiotukio flan then anaibukia stejin kwa nyuma huku rihana yuko stejin anaimba ni bonge la show yaaaaaaaaani live long goat.
Inawezekana....za nyumbani au mishe zake?Yule mkewe inasemekana alikua na fuba la kutosha sana
Eve na goma lake la TambDah enzi hizo niko skonga
Nilikuwa namkubali sana
na na nana nanaaaa dah kama juzi tuu 🔥Kipindi hiyo mademu wa kibongo ndio walikuwa wameanza kuvaa kinyamwezi. Ilikuwa shida Secondary we acha tu
View attachment 2870898
ChaiKuna mwamba wa kuitwa chanta walla na ruda criss na huyu rhsm na huyu jamaa wakuja hapa bongo baada ya kuona kiingilio cha wabongo kwenye show yake ni hela ya kula maandaz akasema mkawape maskin haha vuta picha jamaa kasamehe m200
Inawezekana....za nyumbani au mishe zake?