Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Coming home ya didy bhana🤣😂Didy na I need a girl
Kanye West na coming hooome
Alicia keys na no 1
Keyshia Cole
Shania Twain
Celine
Tony Braxton
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shoop, lets talk about sexy na R u Ready ni bonge la ngoma kali mazee!!salt n paper
Ja rule,songNaanza na Ja Rule. Mwamba alitikisa miaka ile kwanzia mziki mpaka picha zake zilikuwa zinabandikwa sana kwenye magari.
Afu mwamba mwingine ni Nelly aliwaharibu sana vijana wa Kitanzania kila mmoja alikuwa anabandika plasta shavuni😂😂
Kulikuwa na t-shirt flani zina oicha yake zilivaliwa sana!
Ndani ya Stan aliandika aiseeEminem ni 🔥🔥🔥
👉Lose your self,
Stan,
mocking bird
Monster.
When am gone
Till I collapse.
Not afraid
No love
Sema Stan sipendi tu🤣😂, ndio goat wangu wa hip hop.Ndani ya Stan aliandika aisee
Huyu jamaa anajua sanaaa
Flow yake huwa naipenda sana jinsi anavyonata na beat
na mimi ndio GOAT wangu aiseeSema Stan sipendi tu🤣😂, ndio goat wangu wa hip hop.
👉Flow yake ni 🔥🔥🔥
Vyote vili kuwa vizuri, ila ile story ali tudiss mashanlbiki😂😄.na mimi ndio GOAT wangu aisee
Stan nahisi hukuipenda kwa sababu ya beat yake ila lyrics aliandika sana