Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa
Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo?

Hebu changamsha ubongo huo acha kufikiria kwa kutumia kifanyio...
Wenzako wanaomsifia ni wale waliopita hapo na wanataka wafe na wengi...
Sasa wewe endelea kujipa moyo uingie kwenye list ya marehemu watarajiwa...
 
Wewe bweteka usubiri hela ya KARAMA\USHIRIKINA kwa kugegeda mwathirika badala ya kujituma na kutafuta kipatoo chako kwa njia sahihi! Wabongo tunakufa kwa ujinga wetu!

Nimeshawork hard and i have everything in life...ila kama unavojua dada angu, pesa huwa hazitoshi na ndo mana unaweza ukawa na bilioni lkn wkt unapita njiani ukakuta buku teni tu imeangushwa na bado ukaiokota pamoja na mahela yote uliyonayo, mtazame Bakhressa, ana azam chapati, mara azam nazi, mara maji, mara unga wa ngano, mara vijoti na bado atabuni bidhaa nyingine! pesa haitoshi...

Sitamgegeda wajameni,,, khe!
 

Nimeshawork hard and i have everything in life...ila kama unavojua dada angu, pesa huwa hazitoshi na ndo mana unaweza ukawa na bilioni lkn wkt unapita njiani ukakuta buku teni tu imeangushwa na bado ukaiokota pamoja na mahela yote uliyonayo, mtazame Bakhressa, ana azam chapati, mara azam nazi, mara maji, mara unga wa ngano, mara vijoti na bado atabuni bidhaa nyingine! pesa haitoshi...siwezi kumgegeda wajameni, ondoeni shaka!
 
Hebu changamsha ubongo huo acha kufikiria kwa kutumia kifanyio...
Wenzako wanaomsifia ni wale waliopita hapo na wanataka wafe na wengi...
Sasa wewe endelea kujipa moyo uingie kwenye list ya marehemu watarajiwa...

Relax! Siwezi kumgegeda bwana...
 

Nilifikiri Danger zone ni kule bongo star search tu, kumbe hata kwenye uhai ipo.Xee
 

Mkuu mbona kila topic zako zinaniletea utata, au sikuelewi elewi nini?
 
sijui akina Klein watakuwa wa aina gani.....
BTW Kongosho, na King'asti chukueni likizo nyakati tofauti tofauti ili munisaidie darasa.
 
Last edited by a moderator:
Kajaribu bahati yako mkuu, ila binafsi sihitaji feedback yako kwani majibu ninayo!
 
..ukitumia kinga hupati hela,nenda mbichi mbichi sio mkavu,go,go,baby goggogggggooooo....do it meeeen,note; choose rangi ya jeneza na utazikwa wapi sikuhizi kumezuka mtindo wa kugombea maiti hasa za ushirikina...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…