Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!

Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!

Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?

Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???

Duniani kuna watu na viatu.....
 
Uzi huu unafaa kupelekwa kwa jukwaa la Vacancies (Nafasi za Kazi). Maana kuna watu wanatafuta ajira ya aina yoyote ilimradi mkono wende kwa kinywa.

Au kama vipi mleta uzi unaweza kuvuta jumla huo mzigo halafu kazini ukaomba kuacha ukachukua na fao la kujitoa kabisa! Maana si tayari utakuwa umepata mtaji, wewe ni gegedu tu, ukiamka unahakikisha simu yako ina chaji muda wote unasubiri simu ya dili!

Duniani humu kuna vijimambo hadi raaaahaa.......
 
Kazi kweli kijana upo poa kupata ngoma kisa vijisenti
 
Eti karama, karama itokee kupitia uzinzi.
Kama ni kweli, sipati tabu kumtambua shetani pale hata bila ukimwi.
Imeandikwa "kwa JASHO utakula" na sio kwa ngono.
 
Nimeshajiuliza sana lkn sipati jibu, huyu binti ni mhudumu wa bar, mzuri kishenzi...ila inasemekana ni HIV+....

Yani ukimgegeda leo, kesho yake lazima upate pesa, watu 9 hadi sasa wameshamgegeda na wamepata cash kesho yake!!! utakuta kuna mazingira fulani hivi ambayo yatakufanya upate chapaa...kama ulikua unamdai mtu na hataki kukulipa utakuta anakupigia simu ukachukue ela yako, kama ulicheza michezo ya kubahatisha utakuta umeshinda, au unapigiwa simu tu na mshkaji wako wa karibu anakwambia "mwanangu njo nikutoe kuna deal nimepiga nimeingiza mkwanja wa maana!", au kama ni mwanafunzi wazazi wako wanakukatia mkwanja tu bila kuwaomba!!!

Kuna mzee mmoja ni mtumishi wa Serikali ndo haambiwi hasikii, kamng'ang'ania balaa, daily anavuta mkwanja na vyeo anapandishwa!

Na mm nimeanza kushawishika kumgegeda, kwani condom si zipo? kwanza sio lazima kupata UKIMWI ukimuandaa mwenzako vizuri ili kuepuka michubuko! au mnaniambiaje wana jamvi?

Hivi huyu manzi atakua mshirikina au ana karama tu???
Hapo kwenye nyekundu Bhaah!!! Chitop...ukikimbia nchale...ukimung'unya nchale. Mkuu hiyo mimi ninegoma kuamini...naomba nikupe Mji ....Nachingwea!?
 
Hapo kwenye nyekundu Bhaah!!! Chitop...ukikimbia nchale...ukimung'unya nchale. Mkuu hiyo mimi ninegoma kuamini...naomba nikupe Mji ....Nachingwea!?

Nachingwea hapana, nipe mji mwingine wa kanda ya ziwa lakini...
 
Uzi huu unafaa kupelekwa kwa jukwaa la Vacancies (Nafasi za Kazi). Maana kuna watu wanatafuta ajira ya aina yoyote ilimradi mkono wende kwa kinywa.

Au kama vipi mleta uzi unaweza kuvuta jumla huo mzigo halafu kazini ukaomba kuacha ukachukua na fao la kujitoa kabisa! Maana si tayari utakuwa umepata mtaji, wewe ni gegedu tu, ukiamka unahakikisha simu yako ina chaji muda wote unasubiri simu ya dili!

Duniani humu kuna vijimambo hadi raaaahaa.......

hahaaaaa kule watapatikana wengi sana maana watu wana sress na kazi + kupandishwa vyeo....
eti Amicus Curiae hujasikia jinsia ya tofauti na hiyo ya kike yenye karama na mimi unielekeze.......
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaa kule watapatikana wengi sana maana watu wana sress na kazi + kupandishwa vyeo....
eti Amicus Curiae hujasikia jinsia ya tofauti na hiyo ya kike yenye karama na mimi unielekeze.......

hahahaaa na wewe unaitaka hiyo karama my dia?

Hebu muulize bi Zahra white anaipataga wapi tukapange foleni... Lolz!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom