Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lizzy bwana aanze tu na we dear me bibi ujue vinc ni mjukuu kwangu
Yaani babe wala usisumbuke na mambo ya kazi yangu, tayari nimekuelewa na nimekukubali. Nipe location!Kiukweli nimetokea kuvutiwa nawe
Unafanya Kazi wapi?
Try meHuku mitandaoni hakuna kitu, wacha tupambane na tunao waona face to face.
Unaulizaa😂😂 hyo no lazma Tena bila hate kuombwa😋😋Halafu nikimtongoza,akinikibalia natuma na yakutolea??
Hahahaha jamani si ndo naaza kurusha vocal nione Kam Ankara ipoOhoo kazi tena mara hii?
Hahahah Sasa mbona unakubali harakaharaka ivyoYaani babe wala usisumbuke na mambo ya kazi yangu, tayari nimekuelewa na nimekukubali. Nipe location!
Try mekuna kitu pambaneni na wanachuo sisi kutapambane na kaka zenu.
Kwanza kua maliza chuo.Try me
duh me nilijuag kuna wakina b mkubwatuNdio zipo sana nimebahatika kuonana na baadhi ni pisi haswaa!
Woyoooooo kumenoga huku! Wacha wee unasema kweli?Huwezi amini hiyo pua yako inanidatishaga😉