Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Pole
 
Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Kama ana akili basi kimasiala umekwisha

Nnahkika ukiaga ofsin kwke akikuvizia mlangoni kabla hujatoka akikudaka na kukuvutia ndani tu utakua ushaloa
 
Tongoza, acha kujivunga.
Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua.
Kijua ndio hiki, usipouanika utautwanga mbichi.
Kalaghabaho!
Asijisumbue unazani napisi ngapi huyo huyo aache maji yatiririke yenyewe akimbabakia ndo asahau man watu kama hao hawana nyege
 
Hii hii,usiku mwema ticha lesson plan una andaa saa ngapi?, Kuna shule ya govt niliwahi kuona asubuhi zinakusanywa headmaster anagonga muhuri.
Weee sie wakongwe hatumuogopi Hm wala nene!!
Sema saivi tupo kwenye terminal exams na ma Mock!!
Shukrani sana mkuu nawe pia
Have a wonderful night with sweet dreams dear!!👋👋
 
Si kmasiala tu geuza moja ya tongozo zako bora uitumie kwaa ulie muelewa .

Mmeshindwa hta kukariri mitongozo mnayo pewa?
Hahahahaaaa... umenikumbusha kitu Nimecheka walai...kuna mtongozo mmoja huo Huwa nacheka sina mbavuuuuu
 
Mpaka muda huu sijapata wakunitongoza.......

Inabidi nisepe nazawadi yangu wallah, wadada mnakwama wapi? 😄
 
Back
Top Bottom