Tuwatongoze na hela tuwape au hivi hivi
Me nitongoze ivyo ivyo wala usijali kuhusu pesaš„°
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwatongoze na hela tuwape au hivi hivi
Ohoo kazi tena mara hii?Kiukweli nimetokea kuvutiwa nawe
Unafanya Kazi wapi?
Nimekuja mkuu wanguNasubiri ukuje pande hii mrembo [emoji849]
Oya Lubebe, huu moyo siuelewi huku ndani unakimbia speed, wewe ndiye barafu la kuupoozašš aaaah sitaki mimišWe jaribu kuniambia lolote mi nitajiset moja kwa moja
Babe Mad Max mambo? Ndiyo saundi hiyo nimejaribuJaman jimbo lipo wazi hapa.
Hiyo mbovu ata nisinge geuka š¶āāļøBabe Mad Max mambo? Ndiyo saundi hiyo nimejaribu
hahahahahahaTutume na nauli?š
Kwamba ushushiwe mistari....nakuimagine sikupatii picha kabisa!!Kazi ipo
Huwezi amini hiyo pua yako inanidatishagašNa pua langu hili lzm wanikimbie
Nalog off Z
Amka usingizini kumekucha. Tho mimi sio cheap kiasi hicho.nakukumbusha tu.na ikitokea jua mimi ni ndo nimeamua na nina malengo yangu.Kama ana akili basi kimasiala umekwisha
Nnahkika ukiaga ofsin kwke akikuvizia mlangoni kabla hujatoka akikudaka na kukuvutia ndani tu utakua ushaloa
AsanteeePole mwaya!! Been there...šµšµ
Huku mitandaoni hakuna kitu, wacha tupambane na tunao waona face to face.Tongoza, acha kujivunga.
Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua.
Kijua ndio hiki, usipouanika utautwanga mbichi.
Kalaghabaho!
Hakuna mwenye huo ubavu pesa zenu njilie tu. zimetushindaSisi huwa tunawashawishi tupate tunayoyataka mpaka wanajikuta wametoa, wakishatoa hawaelewi ilikuaje wakatoa.
Na wao watushawishi tuwahonge maana inasemekana watakacho ni pesa. Nipigwe sound mpaka nitume mhamala wa milioni moja nikishatuma nisielewe ilikuaje nikatoa.
Mbona ni tamu tu, hakuna sababu ya kuzishindwa.Hakuna mwenye huo ubavu pesa zenu njilie tu. zimetushinda