Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Kuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchangani
🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐😎😎😎😎!



Your former username pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
 
Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la

Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lake
Kwan siku hizi kuna kutongoza? Si pesa tyuuh.
 
Kuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchangani
Kumbe nawe wapitaga kimya kimya kulee????? Vibaya hivoo mida mida uwe unanisalimia bana!!!! Twende basi ukatupie nikuone best yangu mie!!!Haya twende🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]!



Your former username pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Hahaha nimeiisahau,jukwaa ambalo haukufika ni JLW(jukwaa la wakubwa) enzi hizo. Kuilikuwa na Magroup ya WhatsApp la MMU, na Ujenzi la membe wa JF enzi hizo.
 
Hahaha nimeiisahau,jukwaa ambalo haukufika ni JLW(jukwaa la wakubwa) enzi hizo. Kuilikuwa na Magroup ya WhatsApp la MMU, na Ujenzi la membe wa JF enzi hizo.
Weeeee JLW nakosaje mie weehh nilikuepo mbona!! kuna mwamba Makaveli10 alikua noumaa sana kuleee!!
Sema kule nilikua msomaji zaidi kuliko kuchangia
 
Back
Top Bottom