Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Mimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?
Hapa Antonnia
 
Mimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?
Ndiomana aseee uvosema avatar ya ki tomboy ndio nikastuka kujua huyu atakua mkongwe wa kitambo enzi hizoooo!! Kumbe una kumbukumbu sana comrade!
 
Nasubiri hilo tongozo hapa,vile nitasumbua/dengua na pigo za sitaki nataka
🤣Kali p (mwanamuziki) anaimba " akisema stakii, stakii ndio anatakaaa"

Dah,ingekua Kuna feature ya kutuma audio hapa ningetuma hiko kipande
 
Ndiomana aseee uvosema avatar ya ki tomboy ndio nikastuka kujua huyu atakua mkongwe wa kitambo enzi hizoooo!! Kumbe una kumbukumbu sana comrade!
Kuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchangani
 
Back
Top Bottom