Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Wee cognition hii username ndio ulikua unatumia Zamani???[emoji6][emoji848][emoji848][emoji848]

Walai umenikumbusha mbali kitambooo!! Enzi za zile avatar za kitom boy lol!!
Mimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?
 
Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Kama sijachanyanya mafaili kuna siku ulisemaga utaleta uzi wa kuhusu mkaka mmoja mattatta sana wahumu mlikutana kwa ishues za kibiashara mamy!! Hivi ulishauwekaga???
Au ndio nazeeka vibaya???😉😉
 
Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.

kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.

tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.

In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.

Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.

Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.

Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Pole mwaya!! Been there...😵😵
 
Sisi huwa tunawashawishi tupate tunayoyataka mpaka wanajikuta wametoa, wakishatoa hawaelewi ilikuaje wakatoa.

Na wao watushawishi tuwahonge maana inasemekana watakacho ni pesa. Nipigwe sound mpaka nitume mhamala wa milioni moja nikishatuma nisielewe ilikuaje nikatoa.
 
Sisi huwa tunawashawishi tupate tunayoyataka mpaka wanajikuta wametoa, wakishatoa hawaelewi ilikuaje wakatoa.

Na wao watushawishi tuwahonge maana inasemekana watakacho ni pesa. Nipigwe sound mpaka nitume mhamala wa milioni moja nikishatuma nisielewe ilikuaje nikatoa.
hahahaha
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom