makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nimekubali 🙈[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekubali 🙈[emoji23]
Mimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?Wee cognition hii username ndio ulikua unatumia Zamani???[emoji6][emoji848][emoji848][emoji848]
Walai umenikumbusha mbali kitambooo!! Enzi za zile avatar za kitom boy lol!!
🤣Nimekubali 🙈
New bebe in town
Huchagui hubagui atakaekizika humjui eehTahadhari, mie maharage ya mbeya, sijui kukataa, uwe nacho usiwe nacho, ukitaka nakupa.
[emoji23] [emoji23]
Eehh.. Mwenzangu, yenyewe nimepewa bure haina haja ya kuibana bana, nakususia chukua mwaya. 😂Huchagui hubagui atakaekizika humjui eeh
Eehh.. 🙈New bebe in town
😂😂Eehh.. 🙈
Kama sijachanyanya mafaili kuna siku ulisemaga utaleta uzi wa kuhusu mkaka mmoja mattatta sana wahumu mlikutana kwa ishues za kibiashara mamy!! Hivi ulishauwekaga???Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23] Niache we dada nimekumbuka mbali mimiUmbea tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole mwaya!! Been there...😵😵Acheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
We jaribu kuniambia lolote mi nitajiset moja kwa mojaNi kazi ngumu sana, sijui ningekua me kama ningeweza nilivyo domo zege[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningetongozwa ningeshakubali mda sana, nisingemwambia eti anipe mda nimfikirie [emoji23]
mtongoze umpendae,acha kuvungaAwamu ya wanawake ausio!!! Safiii
hahahahaSisi huwa tunawashawishi tupate tunayoyataka mpaka wanajikuta wametoa, wakishatoa hawaelewi ilikuaje wakatoa.
Na wao watushawishi tuwahonge maana inasemekana watakacho ni pesa. Nipigwe sound mpaka nitume mhamala wa milioni moja nikishatuma nisielewe ilikuaje nikatoa.
[emoji41]mtongoze umpendae,acha kuvunga
Wenawe Hebu huko 😏!! Kwani lazima????mtongoze umpendae,acha kuvunga