Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Siamini mpk sasa hakuna mdada alieniApproach na Urefu wangu wote huu!
Heeeee jaman kama ni mrefu afu dark and handsome sema nikutupie vocal[emoji18][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini mpk sasa hakuna mdada alieniApproach na Urefu wangu wote huu!
hahahahaWenawe Hebu huko 😏!! Kwani lazima????
Wengine hatujulikani hata kwenye ule uzi wa mtaje mtu yeyote with no reason hutukuti tagged sembesu huku kutongozwa
Unamchekea Nani??😏😏😏😏hahahaha
Haujanijibu hapo juuWenawe Hebu huko [emoji57]!! Kwani lazima????
Mimi sina tabu, wewe tu🙈
Sijajibu Wapi??? Tuliishia kwenye nivokuuliza swali wewe Hivi ushajibu eeh???Haujanijibu hapo juu
Hapa AntonniaMimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?
Shida sio kujulikana lakini.Niko mwaka wa 8 jf lakini ajabu sijulikani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Aiseeehhh!!! Ngoja nipatafute nijibu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Sasa unajiita zombi mweusi unategemea nini mkuu[emoji38][emoji38]
Ndiomana aseee uvosema avatar ya ki tomboy ndio nikastuka kujua huyu atakua mkongwe wa kitambo enzi hizoooo!! Kumbe una kumbukumbu sana comrade!Mimi mkongwe mwenzio,nilijiunga mwanzoni 2013. Ila nilitumia ID nyingine kipindi hicho. Chitchat yenu ya kipindi hicho ilikuwa ya kuheshimiana Sana,Mimi ni introvert so huwa napenda kuwasoma nyie "mastaa"[emoji92][emoji92][emoji92][emoji92][emoji92] wa jf. Kiufupi nakumbuka matukio kibao. Hivi ulikuwa unafanya kazi Kagera?
Nasubiri ukuje pande hii mrembo [emoji849]Ni kazi ngumu sana, sijui ningekua me kama ningeweza nilivyo domo zege[emoji848]
🤣Kali p (mwanamuziki) anaimba " akisema stakii, stakii ndio anatakaaa"Nasubiri hilo tongozo hapa,vile nitasumbua/dengua na pigo za sitaki nataka
😁😁😁So that to have you???
Without a Question.....😘
Kuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchanganiNdiomana aseee uvosema avatar ya ki tomboy ndio nikastuka kujua huyu atakua mkongwe wa kitambo enzi hizoooo!! Kumbe una kumbukumbu sana comrade!