Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes i know baby, nikutupie vocal ama?😂My financial services you know what to do..
Oya babilai niaje? Ndiyo naanza hivo😛Mimi lazima nikatae ebu moja ajaribu basi tuone kama ni kweli.
Ndugu umekubuhu unahamia kwa mapunga sasa Mungu akunusuru.Jaribu kwangu basi..
Tatizo tuna tamaa sana acha watupige tu ebu una uzi wao bado tumejaa sisi tukiwaomba kuna nini hapo kama sio kupigwa na vitu vikubwaRussian Roullete na evelyn Salt...catch me if you can !
Kumbe upoo!Chei chei
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oya babilai niaje? Ndiyo naanza hivo[emoji14]
Kutongoza ni sanaa mkuu,Ndugu umekubuhu unahamia kwa mapunga sasa Mungu akunusuru.
Upo sawa je huyo ulo muomba ni mwanamke au shoga?Kutongoza ni sanaa mkuu,
Sasa tunataka tuone umaridadi wa upande huu, tushazoea sisi(Me) ndio tunaotongoza, mbinu zako haziwezi kuwa sawa na zangu(hiyo ndio sanaa na kila mmoja ana kipaji chake).
Hawa upande huu nao wapo ebu tuone watiririke na hili haliwezi kuwa na athari kwangu binafsi
Au nimekosea mkuu ?😂 unanichekaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo unifungukie mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DuhSiamini mpk sasa hakuna mdada alieniApproach na Urefu wangu wote huu!
khaaa ! NimeshtukaaOya babilai niaje? Ndiyo naanza hivo😛