Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la

Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lake
hahahaha eti 'huyo jamaa'
 
Wanaume tujichanganye tuone Kinachofuata nn
IMG_20220713_230946.jpg
 
Back
Top Bottom