Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza kutupiga mizinga tu.Kutongoza tu wanashindwa lakini utasikia wakijigamba "wanawake tunaweza!"
Mnaweza nini?
hahahaha eti 'huyo jamaa'Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la
Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lake
Hi dearKutongoza tu wanashindwa lakini utasikia wakijigamba "wanawake tunaweza!"
Mnaweza nini?
Hahahahaha hela ipo? Nianze kurusha vocal ????Siamini mpk sasa hakuna mdada alieniApproach na Urefu wangu wote huu!
Vyenye ncha kaliTatizo tuna tamaa sana acha watupige tu ebu una uzi wao bado tumejaa sisi tukiwaomba kuna nini hapo kama sio kupigwa na vitu vikubwa
hahahahahaHahahahaha hela ipo? Nianze kurusha vocal ????
HahahaaaNilikuwa najikuta napendwa huku jf kumbe najidanganya kabisa..
Sitoki hapa [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumekuchaaaaah!
Nakutumie ile kitu then uje mwenyewe kunipa mistari hapaAwamu ya wanawake ausio!!! Safiii
Sawa mkuu nitumie kule basi nije nikupige vocal hadi uingie line mwenyewe!😉Nakutumie ile kitu then uje mwenyewe kunipa mistari hapa
Kule siwezi,nifungulie then ufungeSawa mkuu nitumie kule basi nije nikupige vocal hadi uingie line mwenyewe![emoji6]
Unaogopa nini?? Tuma uwanja wa kujidai banaKule siwezi,nifungulie then ufunge
Njoo nikupige vocal kabla simu yangu haijazima chajiKule siwezi,nifungulie then ufunge
Poa poa dk0Unaogopa nini?? Haya nakufungulia ufanye manuva fasta sasa!!
Zamu yenu sasa,Kuna kipindi ulikuwa unavaa kitom boy(kwenye avatar yako). Nakumbuka miss chaga aliwahi kukuzingua uache zile pensi zako.Awamu ya wanawake ausio!!! Safiii