Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imenibidi nisogee kwenye kivuli nirudie kusoma tena.Huo mtongozo wa kibabe kama demu wa kimachame aliyekulia Singidani alafu akahamia chuga.
Ndio kutongoza kwako kunaishia hapo!!??audacious njoo nikupige maneno
Acha tu, nimeshtukaa kidogo nidondoshe simu baada ya kuona id ya mhusika.Kutongoza ni kipaji sasa ukiwaambia watongoze hawawezi ukiwatongoza wanasema hatujui!
Nipige neno, mama la mama niingie box chap kwa haraka.Yes i know baby, nikutupie vocal ama?[emoji23]
😀😄😀😀Halafu nikimtongoza,akinikibalia natuma na yakutolea??
Nimefurahi tu jinsi unavyorusha verses😂😂Au nimekosea mkuu ?😂 unanichekaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati nakutongoza utakua unatafuna kijiti au unachimba mchanga na kidole? Ya kutolea itahusika?Jaribu kwangu basi..
Yes hello.Hello
Sina uhakika kama Ke au ShogaUpo sawa je huyo ulo muomba ni mwanamke au shoga?
hahahahaha,una hofu?Sina uhakika kama Ke au Shoga
Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la![]()
![]()
![]()
![]()
wakati nakutongoza utakua unatafuna kijiti au unachimba mchanga na kidole? Ya kutolea itahusika?![]()
Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lakehahahahaha,una hofu?