Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Mm naona mwisho kukudharau tu Bora unyamaze tu ukute mkaka ambae anashobokewa na wadada na wew ukianza anakuweka kwenye kundilile lile japo inawezekana unapenda kweli
🤣🤣🤣🤣🤣 mimi nina staha siwezi fika huko
 
Sa unashindwa Nini luckyline halafu ukute hata yeye anawaza akuanze vipi.
Toa neno moja tu au fanya kitu kimoja Cha kumfanya awaze (kwani huyu dada ananionaje Mimi) Kisha yeye (kama ni mwanaume kamili) atamalizia.
Sina huo ubavu. Wacha iwe hivyo kimya kimya.nina aibu sana sijawahi kufanyagabhayo mambo
 
Kutongoza si tatizo, tatizo ni pale ukipewa cha mbavu. Wanawake hatuna moyo wa kuvumilia hiyo kitu
 
Sina huo ubavu. Wacha iwe hivyo kimya kimya.nina aibu sana sijawahi kufanyagabhayo mambo
Utapoteza nafasi uje kujilaumu. Ila nahisi bado Kuna upande wako haujamkubali. La sivyo aibu ungeziweka pembeni, ungetafuta namna ya kumfikishia ujumbe.
 

Nyie 😍 ngoja nifikirie 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…