Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la

Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lake
hahahaha eti 'huyo jamaa'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…