Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Me sitak cake kubwa cz sina pa kuipeleka hiyo inayobaki.
Huko zanzibar, serenget, udzungwa naenda kufanya nin wakati huo ndo mwezi mzuri wa kutulia.
Sasa si ninajikuna pale mkono unapofika? Naandaa budget ya 5ml naamini itatosha ya sisi kuspend na kukuspoil habibty wangu.
 
Sasa si ninajikuna pale mkono unapofika? Naandaa budget ya 5ml naamini itatosha ya sisi kuspend na kukuspoil habibty wangu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mim nataka zawadi peke ake zawadi kubwa
 
Mmh unapenda black forest na red velvet kama mimi tu eeh πŸ˜†πŸ’–
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…