Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Hahaha Mkuu huyo jamaa balaa sana Ac Vita akasome, kuanzia 2009 - 2019 kachukua Champions League(CCL) mara 5,Shirikisho(CCC)mara 3,semi final (CCL) mara 8,African Cup mara 1,kacheza club bingwa Dunia fainali na Inter Millan,si mchezo mkuu!!!..

Sent using Jamii Forums mobile app

hapo umeongea uongo na kuongeza chumvi.. mazembe hajachukua champions league mara 5.. in last 10 years.. alichukuaga zingine zamani miaka ya 80s.. kuanzia 2009-2019 ametwaa mataji ila sio matano
 
Back
Top Bottom