Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Kwakuwa washindi wa pili wa makundi (kama alivyokuwa Simba) watapangwa na waliokuwa washindi wa kwanza, Simba hana jinsi Zaidi ya kusubiri mojawapo kati ya mechi hizi za robo fainali. Leo ndiyo leo:

Simba v TP Mazembe (DR Congo-Bingwa mara tano wa mashindano haya mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2015 )?

Simba v Wydad Casablanca (Morocco-Mabingwa wa 2017 Klabu Bingwa Afrika na Mcheza fainali wa mwaka jana Shirikisho Afrika)?

Simba v Esperance (Tunisia-Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Afrika)?



Watani mchague kabisa na mjiandae kisaikolojia kushangilia au kutukimbia!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›
Tujuavyo sis timu yoyote ikicheza na simba kwa mchina pale hatoki. Iwe timu ya kutoka ndani kama yanga, azam etc aukuto nje kwa mchina hatoki. Sasa timu yoyote kwa simba sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo umeongea uongo na kuongeza chumvi.. mazembe hajachukua champions league mara 5.. in last 10 years.. alichukuaga zingine zamani miaka ya 80s.. kuanzia 2009-2019 ametwaa mataji ila sio matano
Point Of Correction

MAZEMBE 2009 - 2019

CCL (Caf Champions League)

2009 - Champion
2010 - Champion
2015 - Champion

CCC (Confederation)

2013 - Finalist
2016 - Champions
2017 - Champions

Caf Super Cup

2010 - Champions
2011 - Champions
2016 - Champions



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi droo ya azam confederation, yanga kapangwa na Nani!?
 
Yaan nyie mashabiki wa Yanga hamjui dunia inavoenda lakn hamtak kuelekezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wengine ni mashabiki wa Dar Young Africans lakini tunawaombea kila la heri Simba SC, kitaifa sisi ni wapinzani na watani wa jadi lakini kimataifa lazima tuwe pamoja, nanyi Simba mjifunze haya mkiwa mnataka kuwa wastaarabu.
 
simba sababu anaanzia nyumbani bora apangiwe mazembe.. simba ana chance kubwa ya kumtoa mazembe.. kuliko kumtoa wydad au esperence kwa game ya pili ya kumalizia away atapigwa nyingi sana kule...
Ni rahisi sana Simba kuwafunga waarabu magoli kwa difference ya 1+ kutokana na joto kali la Dar na pia ngozi za waarabu kutoweza himili joto kali, endapo mechi itachezwa jioni ya saa kumi au mchana. ila ni ngumu sana kuifunga T.P Mazembe kwa difference ya 1+ kwasababu wanaweza kuendana na hali ya hewa iliyopo Dar. Na kufanya mechi ya marudio kuwa ngumu sana na Simba.

Rejea Simba vs Nkana goal difference ilikuwa ni moja tu uwanja wa taifa. (3 kwa 2)

Mechi ya Simba vs Vita goal difference ilikuwa ni moja pia. (2 kwa moja)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point Of Correction

MAZEMBE 2009 - 2019

CCL (Caf Champions League)

2009 - Champion
2010 - Champion
2015 - Champion

CCC (Confederation)

2013 - Finalist
2016 - Champions
2017 - Champions

Caf Super Cup

2010 - Champions
2011 - Champions
2016 - Champions



Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na hii
Caf champions league
1967
1968

Jumla wamebeba mara 5 klabu bingwa afrika
 
mpira unamatokeo ya kikatili na ya kushangaza sana chochote kinaweza tokea hata kama watu wakipangwa na timu yoyote , ni swala lakuwatia vijana wetu moyo na wakapigane na timu yoyote ili wapate matokeo Mungu ajalie na wasonge mbele kama miaka ile ya nyuma
 
Back
Top Bottom