Dah!Labda walivutiwa na speech yake
Spichi tu, bila ya historia ya matendo ya mwanachama ndani ya chama inayoendana na spichi hiyo?
Hapana, hapa patakuwepo zaidi ya mvuto wa spichi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Labda walivutiwa na speech yake
jamaa anaukwasi wa kibiashara , sio ukwasi wa kisiasa kama wa marope.anapesa kumzidi Makamba? mwenye TANESCO, TPDC, EWURA, WAAGIZAJI MAFUTA, TAIFA GAS n.k tuache utani basi.
Watu wanasahau akina Mo, Roast na wengine walipitia huko huko, enzi za Kikwete.jamaa anaukwasi wa kibiashara , sio ukwasi wa kisiasa kama wa marope.
Jamaa ameona ajiunge kwenye siasa ili ale kiulaini zaidi, nia ni ubunge tu 2025
Huyu akae chonjo,asije uliwa na watoto pendwa kwa wivu waoMshindi wa kwanza wa Kura za Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Ndg. Leonard Mahenda Qwihaya aliyepata kura 845 ni nani hasa kwenye Chama cha Mapinduzi?
Mwenye historia yake atusaidie nasi tusiomfahamu tumfahamu.
View attachment 2447695
Huyu akae chonjo,asije uliwa na watoto pendwa kwa wivu wao
Na kwihaya ni kisukuma yenye maana ya, _KUSEMANAHizo ni mbwembwe tu jina ni Kwihaya.
Ni sawa tu na Balozi aliyekufa kwa ajali juzi anaandikwa Mushy badala ya Mushi.
Majina ya watu wa manyara hayo kuna Qorro,Qarres,Quran ,wambulu asili yao ni uarabuni ndio maana some times wanaitwa wairaqHizo ni mbwembwe tu jina ni Kwihaya.
Ni sawa tu na Balozi aliyekufa kwa ajali juzi anaandikwa Mushy badala ya Mushi.
Au Malechela kuandika MalecelaHizo ni mbwembwe tu jina ni Kwihaya.
Ni sawa tu na Balozi aliyekufa kwa ajali juzi anaandikwa Mushy badala ya Mushi.
Mkuu..hawezi kuuliwa.
..huenda anaandaliwa kuwa " rostam mweusi. "
..yeye atashika fedha, wenzake watashika madaraka.
shangaa na wewe jina limekaa kama la kirundiQwihaya?
Asije kuwa ni mhamiaji haramu.
Nchi hii tumejiachia sana.
Mkuu
Kama ni Hivyo nitashukuru kama Nini aiseh!
Mzee Reginald mengi aliniliza Sana alipoandika kuwa wakati ule wa awamu ya kwanza, SERIKALI iliwapendelea matajiri wa ASILI ya kuleee wazawa wakaminywa!!
Bora watuandalie wazawa!Ili kama watatuumiza tujue ni ndugu ZETU wameamua kutuuma!!
QWIHAYA polesMimi namfahamu. Ana kampuni inayojishughulisha na Electrical Engineering..
Huko CCM simjui.
Itakuwa alitoa rushwa ya kutoshaMimi nadhani swali lingekuwa: Qwihaya kafanya mambo gani ndani ya chama hadi wajumbe wakavutiwa sana na kumpa kura nyingi vile?
Wenye jibu la hili swali wasaidie kutoa jibu.
Tajiri wa ng'ombeni msukima wa mwanza ilemela , anasaidia sana vijana kata ya ilemela mtaa wailemela ila ni mfanya biashara wa nguzo za umeme tangu utawala wa maguful
Bado kupata hela za matunda ya Uraisi tuu😄😄😄😄😄😄anapesa kumzidi Makamba? mwenye TANESCO, TPDC, EWURA, WAAGIZAJI MAFUTA, TAIFA GAS n.k tuache utani basi.
Hapana ni MangulaLazima atakuwa Don!
Alikuwa Msekwa kama sijakosea aliwahi kulalamika kuwa wapiga kura ndani ya CCM hawataki vipeperushi vya wagombea bali wanataka VIPEPERUSHWA!