Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Mkuu..tatizo anaandaliwa sio kwasababu ni mzawa, bali kwasababu ni mwana-CCM.
..tuandae mazingira ambayo kila mwenye juhudi atafanikiwa.
..tusibaguane kwa sababu ya vyama.
Siasa zipo dynamic Sana!
Kwa Sasa ccm ndio inaaminiwa na wenye nchi,japo zipo dalili za wazi endapo katiba ikipatikana mambo yanaweza badilika,sidhani kama ccm inaweza kupambana kwenye fair election!
Tusubiri!!