Qwihaya ni mfanyabiashara wa Nguzo za umeme Mafinga-Iringa na hela nyingi alipata kipindi ambacho Magufuli akiwa madarakani kwa wakati ule kiwanda kilikuwa kama kina share na Magufuli maana pia ni mtwasi mwenzake hata hivyo baada ya kufa kwa Magufuli kiwanda kama kilikufa Mafinga na magari mengi yaliuzwa akahamisha kabisa kwenda Njombe huko.