Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuwa uko sahihi kwa upande wako.Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Ni king’amuzi gani hicho mdau?
Mimi dogo namwelewa nipe code au kwa sababu unamchukia na mimi nimchukie mkuu?
Jungu hiliWivu
Usilipieee hicho king'amuzii.Ananimalizia king'amuzi hachekeshi
Nyie watu, kumbe mko serious hiviii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikajua peke yangu ananiboa. Watu tuna masters tunamchora tu. Itabidi leo niiblock ile channel yao kwenye king'amuzi.
UMechafukwaa😀😃Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Hiyo pia ni ajira,Eric Omondi ana degree kitambo na ana maisha mazuri ila huwezi kumsikia akijisifia kusoma,comedian wa kenya wengi ni graduate wengine na Mastets kabisa,hiyo ni kazi aiheshimu ila aache Majisifa.Kijana wa watu maskini..kakosa ajira ameamua kujiajiri ili apate hela ya halali unamfanyia mtima nyongo jamani.....
Anaposema amesoma anafikisha ujumbe kwa serikali kuwa wamesoma ila ajira hakunaaa...