stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kwani yeye ndio wa kwanza? 😂Leo amesaini deal na DSTV.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye ndio wa kwanza? 😂Leo amesaini deal na DSTV.
Na hatokuwa wa mwisho....kila jambo na zama zake.Kwani yeye ndio wa kwanza? 😂
Watakuja wengine zaidi yake na huo ndio utakua mwanzo na Mwisho akae bench ajifunze kwa wenye talent km ilivyotokea kwa wengine, wabongo acheni kuroganaNa hatokuwa wa mwisho....kila jambo na zama zake.
Hawataki sasa, utawafanya nini?Ebwana nimeshasema hapo wafanye comedy sio maigizo ya comedy sijui unanielewa vizuri?
Makwenzi tu nitakuja niwashushe nipande Mimi niwaonyeshe how real comedy should beHawataki sasa, utawafanya nini?
Wewe ni mnyonge wa magufuri?Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Bad news to haters ila hawezi pendwa na kila mtu, hajawa pesa.Leo amesaini deal na DSTV.
Nitakuja... niwashushe... nipande... niwaonyeshe.Makwenzi tu nitakuja niwashushe nipande Mimi niwaonyeshe how real comedy should be
Huo mfano na mfanano wa Fisi usinitolee Mimi hata ule wa Tai na Kunguru pia km ulitaka uutumie pia usinitolee MimiNitakuja... niwashushe... nipande... niwaonyeshe.
Wewe ni kama fisi unayemmendea mtu anayetembea ukitegemea mkono wake utaanguka ule.
Anzisha comedy yako, iweke hewani, halafu njoo uponde za wenzako.
Tulinganishe.
Vinginevyo unaweza kuonekana unapiga kelele kwa chuki binafsi tu.
Wewe unaelekea Wapi?Kuwa makini mkuu unakoelekea ni kubaya sana.
Mkuu,mkishindwana huko PM naomba uniunganishie na mimi huku Pm kwangu ili na mimi nimwage sera zangu,Carleen njoo Pm, tuzungumze unaonekana una akili.
Wanachaguana tu. Haya tumeyaona lakini kazi wanapata. SAUT pia waliita chuo cha kata sasa wanaikubali. Ni maisha tu.BOT imejaa UDSM,IFM,Mzumbe,Saut na SUA only that hata UDOM walikuwa hawaaminiki mpaka recently.
TEKU hata aoplication yako hawaisomi wanaichana chana
ndio nani huyo kwani?Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.