Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Wewe ni mnyonge wa magufuri?
 
Makwenzi tu nitakuja niwashushe nipande Mimi niwaonyeshe how real comedy should be
Nitakuja... niwashushe... nipande... niwaonyeshe.

Wewe ni kama fisi unayemmendea mtu anayetembea ukitegemea mkono wake utaanguka ule.

Anzisha comedy yako, iweke hewani, halafu njoo uponde za wenzako.

Tulinganishe.

Vinginevyo unaweza kuonekana unapiga kelele kwa chuki binafsi tu.
 
Nitakuja... niwashushe... nipande... niwaonyeshe.

Wewe ni kama fisi unayemmendea mtu anayetembea ukitegemea mkono wake utaanguka ule.

Anzisha comedy yako, iweke hewani, halafu njoo uponde za wenzako.

Tulinganishe.

Vinginevyo unaweza kuonekana unapiga kelele kwa chuki binafsi tu.
Huo mfano na mfanano wa Fisi usinitolee Mimi hata ule wa Tai na Kunguru pia km ulitaka uutumie pia usinitolee Mimi
 
BOT imejaa UDSM,IFM,Mzumbe,Saut na SUA only that hata UDOM walikuwa hawaaminiki mpaka recently.
TEKU hata aoplication yako hawaisomi wanaichana chana
Wanachaguana tu. Haya tumeyaona lakini kazi wanapata. SAUT pia waliita chuo cha kata sasa wanaikubali. Ni maisha tu.
 
Yani unamsema Leonardo anajisifia kua ni msomi,kwa njia ya wewe kujisifia zaidi yake kua wewe ni msomi kumshinda yeye!

Yule anafanya Comedy ila wewe umejisifia kiuhalisia,

So,hapa tatizo ni wewe na sio Leanardo,

Tatizo huu uzi umekuja speed sana kuuanzisha mpaka ukasahau kichwa chako njiani.
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
ndio nani huyo kwani?
 
Back
Top Bottom